Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Popat na wenzake ni wakuondokaHebu funguka kidogo huko juu kulikoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Popat na wenzake ni wakuondokaHebu funguka kidogo huko juu kulikoni?
Mtendaji mkuu kuna watu wanamzidi nguvu wakati hata hawana vyeokama mtendaji mkuu
Hata akija mwingine, hao jamaa wasipoacha hicho wanachofanya hata aje CEO wa Man City hatoboiPopat na wenzake ni wakuondoka
Ndugu yangu wee acha tuu, mambo mengi ya ajabu. Siwezi kuyasema hapa. Pengine lengo kuu la timu siyo mpiraHebu funguka kidogo huko juu kulikoni?
Waweza niambia hata inboxNdugu yangu wee acha tuu, mambo mengi ya ajabu. Siwezi kuyasema hapa. Pengine lengo kuu la timu siyo mpira
NIkihakikisha wewe ni mmiliki au mwanafamiliaWaweza niambia hata inbox
Mimi ni kapuku tu huku Nanjilinji vijijini, hivyo usiwe na shaka juu yanguNIkihakikisha wewe ni mmiliki au mwanafamilia
😀Mimi ni kapuku tu huku Nanjilinji vijijini, hivyo usiwe na shaka juu yangu
Na kweli inazidi kua nyepesiKama hawako serious si ndo vzr kwa SSC na YNG... league iwe nyepesi