Hivi Azam katika taarifa yao ya habari ya saa mbili usiku huu, wameonyesha uwepo wa wakilishi wa Mabalozi wa Nchi za nje?

Hivi Azam katika taarifa yao ya habari ya saa mbili usiku huu, wameonyesha uwepo wa wakilishi wa Mabalozi wa Nchi za nje?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Naangalia Azam News hapa(UTV live) ambapo taarifa ya habari ndio inaendelea. Katika taarifa yao, wameripoti kesi ya Mbowe inayoondelea Mahakama Kuu ila katika picha za Mahakamani, sijaona uwepo wa Wawakilishi wa Mabalozi waliohudhuria hiyo kesi.

Je, uwepo wao si muhimu, ni bahati mbaya tu au mimi ndio sijaona(nimepitiwa)?

Tusaidiane.
 
Naangalia Azam News hapa(UTV live) ambapo taarifa ya habari ndio inaendelea. Katika taarifa yao, wameripoti kesi ya Mbowe inayoondelea Mahakama Kuu ila katika picha za Mahakamani, sijaona uwepo wa Wawakilishi wa Mabalozi waliohudhuria hiyo kesi.

Je, uwepo wao si muhimu, ni bahati mbaya tu au mimi ndio sijaona(nimepitiwa)?

Tusaidiane.
Yaani akili yako umewekeza kwa mabalozi kumkomboa gaidi Mbowe, pathetic
 
Hahaha kwani ina impact gani kuwepo kwao?
 
Hahaaa, nyie makamanda ni watu wa ajabu sana; kwa unataka kuwapangia nini waseme na nini waonyeshe? Anzisha tv yako na wewe uamue nini cha kuonyesha na kusema.
 
Kwani kwa kumpa Mbowe kesi fake ya ugaidi, sisi kama Taifa tunapata nini?
Kwanza kbs aliwahi kuhusishwa na kifo cha Chacha Wangwe kwa sababu ya kuulinda uenyekiti wake, pili aliwahi kuhusishwa na tuhuma za kutaka kumpa sumu Zito kwa sababu zinazofanana na Chacha Wangwe, tatu ilisemekana kuwa wakati Ben saa8 anapotea alikuwa anatokea ofisini kwake, nne kauli au onyo alilompa waziri mkuu mstaafu mh Sumaye kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi hii inaonesha kuwa yeye ni mtu wa aina gani. Sidhan kama ww ungekuwa mmoja wa watoto au ndugu wa karibu na Chacha Wangwe ungeandika haya unayoandika hapa. Kifupi tuiachie mahakama ifanye kazi yake. Kama kesi aliyopewa sio yake ataachiwa kama walivyoachiwa kina Mdude na yeye mwenyew ktk kesi zingine alizowahi kushinda na kurudishiwa hela. Lkn sio kukimbilia kulalamika kuwa kabambikiwa kesi na wakati ashatuhumiwa na mambo mengi yanayohusiana na maisha ya watu. Waswahili wanasema "moyo wa mtu msitu". Sina uhakika kuwa huwa anakwambia kila analolifanya maishani kwake.. Kumbuka kuwa Mtu anaweza kuwa sheikh, mchungaji, au padri mchana.. kumbe usiku ni mchawi, jambazi, mlevi nk. RIP Chacha Wangwe hakika malipo ni hapa hapa duniani.
 
Back
Top Bottom