Hivi Azam lengo la ni kusajili wachezaji wazuri au lengo lao ni kuchukua wachezaji wa Yanga?kwanini hawatafuti wachezaji bora kutoka nje?

Hivi Azam lengo la ni kusajili wachezaji wazuri au lengo lao ni kuchukua wachezaji wa Yanga?kwanini hawatafuti wachezaji bora kutoka nje?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Unawezaje kuwa tajiri halafu ukasubiri wachezaji wazuri kutoka timu za ndani ndio uwasajili badala ya kutumia hela zako kusaka wachezaji wa kimataifa moja kwa moja kutoka huko nje?

Japo kuna wanaowsajili moja kwa moja kutoka nje ya nchi, lakini ni wazi wanangoja vilabu makini(na hapa Yanga) wasajili wachazaji wazuri kisha waanze kuwarubuni kama Fei au wakiona mchezaji amevuma basi watatumia fedha zao kumsajili.

Nafahamu soka ndio ilivyo(kuchukuliana wachezaji), lakini nilitarajia wao wenye fedha, ndio wawe vinara wa kuleta wachazaji wa kimataifa wanaowiki katika ligi yetu na sio kutegea wachezaji wazuri kutoka vilabu vya humu ndani. Vinginevyo, tutaamini wana hela lakini hawajui kuzitumia kusajili au hawana makocha wanaoweza kuwasaidia kutafuta wachazaji wazuri wa kimataifa.

Azam badilikeni.
 
Yaani nianze kucheza kamali kwa mchezaji mgeni nisie mjua ubora wake ilihali kuna wazuri tena wa bei chee wapo hapa? uto bwana!
 
Unawezaje kuwa tajiri halafu ukasubiri wachezaji wazuri kutoka timu za ndani ndio uwasajili badala ya kutumia hela zako kusaka wachezaji wa kimataifa moja kwa moja kutoka huko nje?
Kwa kuwa ni wazuri ! 😁😁😁
 
Ubingwa ni matokeo ya timu bora, na sio wachezaji bora pekee, azam ili achukue ubingwa mbele ya hawa wababe wawili anahitaji zaidi ya usajili bora.
Naamini waliokuelewa ni wachache but huo ndoo ukweli
 
Azam wamesajili zaidi ya wachezaji kumi kwenye hili dirisha katika hao wawili tu ndio imetoa Yanga hao wengne waliobaki umeshajiuliza wamewatoa wapi?
 
Have you noticed kwamba kipindi simba anashinda kombe la league 4 years consecutively, Azam hakuwai kuwa serious na kulitaka kushindania kombe ila ghafla Yanga akianza kushinda back to back league title, ghafla Azam anakuwa serious kum-challenge yanga kuliko hata watani zetu wenyewe. That team is full of weird shit and led by clowns
 
Unawezaje kuwa tajiri halafu ukasubiri wachezaji wazuri kutoka timu za ndani ndio uwasajili badala ya kutumia hela zako kusaka wachezaji wa kimataifa moja kwa moja kutoka huko nje?

Japo kuna wanaowsajili moja kwa moja kutoka nje ya nchi, lakini ni wazi wanangoja vilabu makini(na hapa Yanga) wasajili wachazaji wazuri kisha waanze kuwarubuni kama Fei au wakiona mchezaji amevuma basi watatumia fedha zao kumsajili.

Nafahamu soka ndio ilivyo(kuchukuliana wachezaji), lakini nilitarajia wao wenye fedha, ndio wawe vinara wa kuleta wachazaji wa kimataifa wanaowiki katika ligi yetu na sio kutegea wachezaji wazuri kutoka vilabu vya humu ndani. Vinginevyo, tutaamini wana hela lakini hawajui kuzitumia kusajili au hawana makocha wanaoweza kuwasaidia kutafuta wachazaji wazuri wa kimataifa.

Azam badilikeni.
Tulia hao wa Yanga si.mmewaacha wenyewe kwa utapeli wenu 😅😅😅
 
Nanyi Yanga wapeni wachezaji wenu wazuri mikataba minono ya muda mrefu...

Achaneni na mikataba ya miaka miwili miwili kama mikataba ya 'fremu'...

Hata hivyo Yanga imetengeneza pesa nono kupitia mauzo ya wachezaji wawili kwenda Azam, pesa ambayo Azam hataweza kuja irudisha endapo atawauza Fei na Bangala...
 
Unawezaje kuwa tajiri halafu ukasubiri wachezaji wazuri kutoka timu za ndani ndio uwasajili badala ya kutumia hela zako kusaka wachezaji wa kimataifa moja kwa moja kutoka huko nje?

Japo kuna wanaowsajili moja kwa moja kutoka nje ya nchi, lakini ni wazi wanangoja vilabu makini(na hapa Yanga) wasajili wachazaji wazuri kisha waanze kuwarubuni kama Fei au wakiona mchezaji amevuma basi watatumia fedha zao kumsajili.

Nafahamu soka ndio ilivyo(kuchukuliana wachezaji), lakini nilitarajia wao wenye fedha, ndio wawe vinara wa kuleta wachazaji wa kimataifa wanaowiki katika ligi yetu na sio kutegea wachezaji wazuri kutoka vilabu vya humu ndani. Vinginevyo, tutaamini wana hela lakini hawajui kuzitumia kusajili au hawana makocha wanaoweza kuwasaidia kutafuta wachazaji wazuri wa kimataifa.

Azam badilikeni.

Bocco
Kapombe
Manula
Nyoni
Wawa

Hao wote walitoka Azam na wakaipaisha Simba
 
Unawezaje kuwa tajiri halafu ukasubiri wachezaji wazuri kutoka timu za ndani ndio uwasajili badala ya kutumia hela zako kusaka wachezaji wa kimataifa moja kwa moja kutoka huko nje?

Japo kuna wanaowsajili moja kwa moja kutoka nje ya nchi, lakini ni wazi wanangoja vilabu makini(na hapa Yanga) wasajili wachazaji wazuri kisha waanze kuwarubuni kama Fei au wakiona mchezaji amevuma basi watatumia fedha zao kumsajili.

Nafahamu soka ndio ilivyo(kuchukuliana wachezaji), lakini nilitarajia wao wenye fedha, ndio wawe vinara wa kuleta wachazaji wa kimataifa wanaowiki katika ligi yetu na sio kutegea wachezaji wazuri kutoka vilabu vya humu ndani. Vinginevyo, tutaamini wana hela lakini hawajui kuzitumia kusajili au hawana makocha wanaoweza kuwasaidia kutafuta wachazaji wazuri wa kimataifa.

Azam badilikeni.
Tatizo mmeumia kuona mlitaka mumpoteze Bangala ila Mungu kasaidia jamaa katua Azam. Lengo lenu la kwamba jamaa afulie kwa kukosa timu limefeli
 
Have you noticed kwamba kipindi simba anashinda kombe la league 4 years consecutively, Azam hakuwai kuwa serious na kulitaka kushindania kombe ila ghafla Yanga akianza kushinda back to back league title, ghafla Azam anakuwa serious kum-challenge yanga kuliko hata watani zetu wenyewe. That team is full of weird shit and led by clowns
Ulitaka waendelee kutokuwa serious ?
 
Back
Top Bottom