Hivi Baadhi Ya Watanzania Wa JF (Kenyan Forums) Huwa Na Low Self-Esteem?


Ziko kasoro nyingi ambazo huwa zinasahihishwa hapa tena kwa takwimu! Kama ni mfuatiliaji mzuri hili halitakuwa geni
 


Nia sio kuleta ubishi bali ni kuelimishana! Hakuna mtu anaweza kukaa kwa ajili ya kubishana, badala yake ni kuelimishana!

Kama vile mbayo mada ya tz huletwa hapa na wakenya kwa ajili ya analysis, vivyo hivyo na sisi tukileta hapa habari ya tz inakuwa ni kwa ajili ya analysis, iwe nzuri au mbaya! hata za Kenya tunaleta kwa ajili ya hiyo hiyo!
 

Kwenye jukwaa la lugha na elimu, au hata majukwaa mengine, kama unataka kujifunza vitu basi fuatilia threads za zamani kidogo, ie 2006-2014. Hapo utakutana na mijadala iliyoshiba kweli kweli! Wachangiaj wengi wa sasa attitudes zimebadilika hivyo mijadala mingine inakuwa tofauti na ilivyotegemewa!

Kwenye jukwaa la Mapenzi, Chit chat na Udaku huko lazima pakuchekeshe! kiufupi huko tunadema ni stress free zone!


Lakini nakushauri kutembelea jukwaa la JAMII INTELLIGENCE. Kuna elimu nzuri na uchambuzi murua wa masuala mbali mbali! Hutojuta kutembelea huko! Au Great thinkers/The palace uombe kuunganishwa!
 

Ni kweli, Lakini sisi kama watu wa mataifa hayo hatuwezi kuacha kujadili mambo yanayotokea kwenye haya mataifa, na ikiwezekana inakuwa njia nzuri ya kufikisha ujumbe kwa hao wanasiasa.
 
.,habari za Ke humu, watz kazi ni kupinga with biased facts, kuponda wakishindwa ni matusi, e.g, njaa, kibera, chokora., na ile percentage katika shida hizo ni chache., blind patriotism at play on both sides, hardly sober debates.
 
.,habari za Ke humu, watz kazi ni kupinga with biased facts, kuponda wakishindwa ni matusi, e.g, njaa, kibera, chokora., na ile percentage katika shida hizo ni chache., blind patriotism at play on both sides, hardly sober debates.
Mtu akikuponda anakupa challenge urekebishe penye hitilafu!

Mind u, sio watz wanaopenda tu, wakenya wanaongoza! Fuatilia mijadala vizuri
 
Uchokozi tuu...[emoji15]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio ungejiangalia kwenye kioo kabla ya kuleta hoja kama hii, huu mchezo mchafu ulianzishwa na nyinyi wakenya mkifikiri Watanzania watalaza damu.

Umeingia humu juzi unasema huu mchezo ulianzishwa Na Wakenya.
 
Umeingia humu juzi unasema huu mchezo ulianzishwa Na Wakenya.
He he heeeeee! Usishangae huyo unayesema kaja juzi alikuwepo kabla yako

[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Tatizo wengi ni VILAZA na ndio maana wanakimbilia huku...
kama mtu na diriki kusema Dar ni moja kati ya miji misafi Afrika na kwenda mbali akidai Dar>Nairobi ni dhahiri huyo mtu ni mpenda sifa toka mtaa wa Lumumba.
It's okay kutetea nchi yako popote pale, it's not okay kutetea uongo kuhusu nchi yako popote pale.
 

Uliona list ya miji michafu africa mwaka huu?
 
Bado unazungumzia hiyo list!?!?
Mi nazungumzia reality mkuu.

We unefanya research ..au unajua kufanya research ..au unawakosoa waliofanya research ..maana research hutumia pesa nguvu na muda .na pia haijafanywa na wa Tz
 
We unefanya research ..au unajua kufanya research ..au unawakosoa waliofanya research ..maana research hutumia pesa nguvu na muda .na pia haijafanywa na wa Tz
Mimi nimeishi Dar huu mwaka wa Ishirini, so nikisema Dar chafu nina uhakika na ninacho kisema.
Kujua kama sehemu ni chafu au safi unahitaji sense organs tu, huitaji kua genius kulijua hili.
Dar ni chafu sasa wewe ungana na hao watu wa nje wakati mimi mkaajaiwa eneo husika nimeona hili jiji ni chafu.
 
Wewe mtu wa chadeko hii ndo Nairobi wewe.
 
Wewe umekuja Dar sisi tumezaliwa Dar na Nairobi tumeishi pia. Niye ndowale watu mkifika mjini mnajifanya kuujua sana kuliko wenyeji. Nairobi wakikuonyesha hizi gari za uchafu na kufanya usafi wa jiji za kisasa. Mimi nahama JF wakikuonyesha au hata wewe ukinionyesha. Tutajua jiji lipi chafu au safi.
 
Tatzo watanzania wanapenda siasa hewa wana maneno mengi mdomoni na always wanaongea vitu ambavyo hawana proof navo ndo maana pia wengi wanakurupuka kufanya publication za infomation ambazo ni za uongo kuhusu serikali na mambo ya binafsi....
Mm kama partly tanzanian, partly kenyan wa tanzania umbea na utoto mwingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…