Synod
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 4,143
- 4,180
Hii ni Kenyan forum; ikiwa kuna kasoro au uwongo kwa chochote kisemwacho, basi pinga ukizingatia mada iliyopo. Nikija niseme Kenya inatoa maziwa mengi duniani nzima, nipinge kwa data ikiwa unaona ni uwongo. Lakini usije ukasema Tanzania inatoa mchele mingi duniani nzima. Huo ni kutoelewa mada na unadhihirisha elimu duni.
Ziko kasoro nyingi ambazo huwa zinasahihishwa hapa tena kwa takwimu! Kama ni mfuatiliaji mzuri hili halitakuwa geni