Hivi benki inaweza kukupa mkopo kwa kitambulisho cha Ujasiriamali?

Hivi benki inaweza kukupa mkopo kwa kitambulisho cha Ujasiriamali?

Sidhani kama Magufuli alijiandaa kwa hizi kampeni, anajikanganya mno.

Sasa ni vema akajiandaa kwa lolote hata kama ni kuwa one-term President.

Wanaomshauri vinginevyo ndio wale waliomwambia hana haja ya kupiga kampeni, ajabu anapiga tena kwa magoti.
Huyu alidanganywa na polepole kwamba wawanunue wale mamluki njaa ili kuua chadema , hela zimepigwa na chadema haikufa , wamechanganyikiwa vibaya mno ! matokeo yake Bashiru anakesha kuunda vikosi vya kupora kura makambini , Siri imefichuka !
 
Hii ni tatizo la washauri wa mheshimiwa,hakuna bank wala taasisi yoyote ya fedha itakayotoa fedha zake kwa kutazama kitambulisho cha Dr Magufuli nasema hakuna narudia tena hakuna.
Sidhani kama ni tatizo la "washauri wa mheshimiwa". Hili naamini haliwezi kutoka kwa washauri abadan. Ni la msemaji ambalo ni zao la dharau. Hata mtoto wa grade 2 anajua kwamba kitambulisho cha aina ile hakiwezi kuwa "collateral". By the way kama kitambulisho thamani yake ni TZS 20k, benki itampa sh ngapi?
 
Huyu alidanganywa na polepole kwamba wawanunue wale mamluki njaa ili kuua chadema , hela zimepigwa na chadema haikufa , wamechanganyikiwa vibaya mno ! matokeo yake Bashiru anakesha kuunda vikosi vya kupora kura makambini , Siri imefichuka !
Ni kama sasa hivi wanahonga watu wahudhurie mikutano yao halafu pesa hizo hizo zinatumika kumchangia Lissu.
 
"Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe. Then ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?" Mromboo(JF)
Mkuu unabisha nini sasa wakati ukienda bank za chama chao ni chap kwa haraka tu
 
"Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe.

Then ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?" Mromboo(JF)
Haaaaaa labda za chato.
 
"Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe.

Then ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?" Mromboo(JF)
Yaani huyu Jiwe ametugeuza waTZ kama watu malofa na wapumbavu.........

Eti anadai pia kuwa na kitambulisho hicho cha ujasiriamali,tayari utakuwa na Bima ya afya 😁 😛
 
Taambia nini watu kuhusu huyu? Anazidi kuboronga na bado mwezi 1
Mwishoni atalikoroga huyu!
Tofauti ya huyu mgombea na yule mkurugenzi wa tume siioni kabisa.
 
"Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe.

Then ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?" Mromboo(JF)
 
CCM wanatumia ujinga au umbumbumbu wa Watanzania kama mtaji wao wa kubakia madarakani.

Labda benki ya mama yako ndiyo unaweza kukupa mkopo lakini hata microfinance za mtaani hazifanyi ujinga huo.
 
"Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe.

Then ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?" Mromboo(JF)
Hawawezi. Hata mimi binafsi siwezi kukupa mopo. kitambulisho ambacho hakina jina wala picha yako
 
"Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe.

Then ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?" Mromboo(JF)
Waulize CCM
 
"Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe.

Then ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?" Mromboo(JF)


Akili za wana ccm zimeshikiliwa na mtu mmoja akisema tu wote wanashangilia
 
"Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe.

Then ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?" Mromboo(JF)
Hata SACCOSS zile za kule Nandiende haziwezi kutoa mkopo kwa kutumia kitambulisho cha mmachinga.
 
Back
Top Bottom