Hivi benki inaweza kukupa mkopo kwa kitambulisho cha Ujasiriamali?

Hivi benki inaweza kukupa mkopo kwa kitambulisho cha Ujasiriamali?

"Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe.

Then ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?" Mromboo(JF)





Kasema sasa wewe unapinga nini?
 
Ata burigi unaingia nacho bila malipo
Mzee baba kachanganyikiwa
 
"Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe.

Then ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?" Mromboo(JF)
Kabla ya kupewa kitambulisho kuna form unajaza inakuwa na taarifa zako, pili kila mtaa umepewa namba fulani hadi fulani hivyo ni rahisi kumpata muhusika kupitia ofisi za mtaa.

Ila vinaweza fanyiwa maboresho, zinaweza nunuliwa mashine za kuchapishia vitambulisho kila ofisi ya mtendaji wa kata ikawekwa moja tukaongeza taarifa zaidi mfano post code ya mtaa anaoishi na namba yake ya nida, hili linazungumzika wala halina shida.

Kuhusu kupewa mkopo, zaidi ya kitambulisho kuna vigezo vingine vya kibenki vinahitajika, mfano uwezo wa mkopaji kulipa dhamana alizonazo etc...
 
"Acheni kutuletea matatizo bure. Kitambulisho hakina jina, hakina picha, hakina alama yeyote ya kumtafuta mtu, lifespan ni mwaka mmoja, unapewa tu bora uwe na 20,000, hakuna sehemu yeyote ya kujaza fomu kama kumbukumbu ili upewe.

Then ukachukulie mkopo benki. Hivi benki siku hizi zinaendeshwa na wenda wazimu wa Lumumba? Mbona mnatuona Watanzania kama wajinga fulani aisee?" Mromboo(JF)
mkuu kuna vitambulisho vingi tu havina picha, hata kadi za bank za crdb nbc hazina picha haimaanishi kwakuwa hakina picha basi hupati huduma
 
Back
Top Bottom