Hivi biashara ya mayai ya kware iliishia wapi jamani?

Ila wazee mayai ya kware ni kweli yanatibu. Mke wa staff mwenzangu alikuwa na severe ucleus, alitibiwa kwa kunywa mayai ya kware
 
Ukisema kinyesi cha mtot aliyezaliwa tarehe 29/2 ya kila mwaka inaongeza nguvu za kiume itakuwaje? Maan ni baada ya miaka kadhaaa
Watoto wote watakaozaliwa siku hiyo watatekwa
 
Serikali iliyapiga malufuku kupitia Wizara ya Afya. jamaa yangu mmoja alipiga hela hatari.
 
Sasa hivi tuna GLOBAL ALLIANCE, vijana wanaichangamkia kama zuzu aliyepewa glasi badala ya Almasi.
 
Sasa hivi tuna GLOBAL ALLIANCE, vijana wanaichangamkia kama zuzu aliyepewa glasi badala ya Almasi.
hii kitu utasikia "one million,, two million",, hahahaaa daah, jamaa ni wezi sijawahi ona,

Kweli mtu utoe laki5 na 60 zen unapewa package ya dawa za kienyeji na dawa za meno ukauze,, halafu mtu na akili zake timamu nae anaenda, na anakuja kukushirikisha fursa na wew ukapigwe pesa yako duuu…!!!
 


Umesahau na MAFUTA YA UBUYU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…