Jini Kisiranii
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 1,912
- 2,254
Ila wazee mayai ya kware ni kweli yanatibu. Mke wa staff mwenzangu alikuwa na severe ucleus, alitibiwa kwa kunywa mayai ya kwareHii biashara ilivuma sana hasa ikihusisha na nguvu za kiume na watu walipiga hela sana kwa kuanzisha ufugaji wa kware na kuuza mayai yake lakini sasa naona kimyaa. Watu wakianza kuvumisha kitu hasa kukihusisha na nguvu za kiume kinapata soko sana. Akiibuka mtu leo na kusema mayai ya nyoka yanaongeza nguvu za kiume msako mkali utaanza kutafuta mayai ya nyoka popote mashimoni na mapangoni na ukitaka watu waanze kufuga nyoka tangaza kuwa mayai yake yanaleta nguvu za kiume
Eeeh walikua wanayasifia sana. Na bei ilikua si haba
yalitaka kunitoa rohoNi kama ilivyoisha ya Mafuta ya ubuyu
Hahaha,naona bwana julius magembe umeamua kujianika mazima,hahahahWalikuwa wanayasifia nini? Kuwa ni matamu sana au?
Wewe ushawahi kuyala?
Mzigus,..hiv huyo julius magembe unamkumbuka lakin?heb mtazame vzurEeeh walikua wanayasifia sana. Na bei ilikua si haba
Sina hakika kama kuna mtu mwenye akili timamu aliyeenda kwa BABUKikombe cha yule babu TAPELI ,aliye waingiza KING hata WATAALAM, WAJUZI WA MAMBO WALIOBOBEA, UMESHA SAHAU????
Hahahahaaa. Namkumbuka sana. Si yule alikua anatafutwa.Mzigus,..hiv huyo julius magembe unamkumbuka lakin?heb mtazame vzur
Kikombe cha yule babu TAPELI ,aliye waingiza KING hata WATAALAM, WAJUZI WA MAMBO WALIOBOBEA, UMESHA SAHAU????
Hahahaaa,, hii kitu ni matter of time tu, watu wataliaSasa hivi tuna GLOBAL ALLIANCE, vijana wanaichangamkia kama zuzu aliyepewa glasi badala ya Almasi.
hii kitu utasikia "one million,, two million",, hahahaaa daah, jamaa ni wezi sijawahi ona,Sasa hivi tuna GLOBAL ALLIANCE, vijana wanaichangamkia kama zuzu aliyepewa glasi badala ya Almasi.
Hii biashara ilivuma sana hasa ikihusisha na nguvu za kiume na watu walipiga hela sana kwa kuanzisha ufugaji wa kware na kuuza mayai yake lakini sasa naona kimyaa. Watu wakianza kuvumisha kitu hasa kukihusisha na nguvu za kiume kinapata soko sana. Akiibuka mtu leo na kusema mayai ya nyoka yanaongeza nguvu za kiume msako mkali utaanza kutafuta mayai ya nyoka popote mashimoni na mapangoni na ukitaka watu waanze kufuga nyoka tangaza kuwa mayai yake yanaleta nguvu za kiume
Hahahaha nyie watu wakorofi hahahaha