Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Wakuu kilio cha kodi na kuhusu TRA kimekuwa kikubwa sana. Hii ni sababu wengi wengi hatujui mambo ya kodi. Huyu Rais amedhamiria kutokomeza mianya yote ya ukwepaji kodi na kukusanya kodi zote.
Ni lazima wafanyabiashara tuwe na elimu ya kutosha ili tusijeonewa mahali. Haiwezekani eti TRA ndiyo wawe wanatupa elimu ya mlipa kodi!
Wako wapi wataalamu wa kodi, wanasheria na waliosomea masuala ya kodi? Wakiandika hata vitabu na kutoa semina za kodi itakuwa poa sana. Mtu unaenda kulipa huku unajua kinachoendelea.
Hata mbinu za kulipa kodi kidogo tutafundishwa. TRA hawawezi kukufundisha mbinu za kukupunguzia kodi.
Wako wapi hawa wataalamu? Chama cha wafanyabiashara hakiwezi Organize mambo haya?
Ni lazima wafanyabiashara tuwe na elimu ya kutosha ili tusijeonewa mahali. Haiwezekani eti TRA ndiyo wawe wanatupa elimu ya mlipa kodi!
Wako wapi wataalamu wa kodi, wanasheria na waliosomea masuala ya kodi? Wakiandika hata vitabu na kutoa semina za kodi itakuwa poa sana. Mtu unaenda kulipa huku unajua kinachoendelea.
Hata mbinu za kulipa kodi kidogo tutafundishwa. TRA hawawezi kukufundisha mbinu za kukupunguzia kodi.
Wako wapi hawa wataalamu? Chama cha wafanyabiashara hakiwezi Organize mambo haya?