Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Ndio anayo alimaliza TIAKingwendu ana diploma ya uhasibu??
ananichekeshaga akiulizwa elimu yake ..haishii tu kusema form four.Form four ya Cambridge
na Dr Sanura (mama dangote)[emoji23]Kuhusu wenye bachelor degree sijajua ila najua wenye levo ya PhD kama Hemedi, PhD na Dr. Cheni naye ni Dr wa Phd pia
Sasa hivi anajishughulisha pia na Mambo ya fitness,gym cjui nn huko....yani tuseme gym trainer (kwa wenzetu inalipa sana)David Otunga huyu km nampata hiv alikuwa WWE baadae nikamuona anatangaza na sasa sijui yuko wapi.
Bongo movie kitambo sana sijawahi kuangalia sbb za movie zao hazieleweki. Sijajua mkuu ngoja waje watazamaji
Ili muone tofauti [emoji23][emoji23][emoji23]ananichekeshaga akiulizwa elimu yake ..haishii tu kusema form four.
.anasema form four ya cambridge[emoji23]
Sinta ana masters degreeSinta(wa nature enz hzo) ana degree au masters cna uhakika ni ipi.
[emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji124] [emoji124] [emoji22] [emoji119]Senga (mwenzie na Pembe) ana advanced diploma ya Biochemistry