Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
the comment of the week goes to....Mbona hemed ana PHD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
the comment of the week goes to....Mbona hemed ana PHD
Naona umempa za uso haurudii tenaHiki ulichokiandika kinahusiana vipi na swali langu?
Diamond kukosa hata Diploma kunahusiana vipi na swali langu?
Diamond ni msanii wa Bongo Movie?
Mbona hata Msukuma au Bashite hawana shule, maisha yao yakoje?
Usionekane tu kua umechangia, changia kitu cha maana.Changia kitu chenye mantiki.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hivi huyu Ray kigosi hata darasa la 7 alimaliza kweli maana.......
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Sasa Mtu kama Ray Kigosi kaishia darasa la saba unafikiri mpaka afike Degree si atakua Mzee tayari??
Tena hapo asiwe anafeli na kichwa kishachanganya na mambo ya mademu uanze kumuuliza factors influencing population distribution si utamuua??
Dr. Cheni mentor wa MeninaC Kuna mmoja anajiita Dr Chen?