Hivi Bongo Movie kuna mtu ana elimu ya kiwango cha shahada(Degree)?

Hivi Bongo Movie kuna mtu ana elimu ya kiwango cha shahada(Degree)?

Hiki ulichokiandika kinahusiana vipi na swali langu?

Diamond kukosa hata Diploma kunahusiana vipi na swali langu?

Diamond ni msanii wa Bongo Movie?

Mbona hata Msukuma au Bashite hawana shule, maisha yao yakoje?

Usionekane tu kua umechangia, changia kitu cha maana.Changia kitu chenye mantiki.
Naona umempa za uso haurudii tena
 
Sasa Mtu kama Ray Kigosi kaishia darasa la saba unafikiri mpaka afike Degree si atakua Mzee tayari??
Tena hapo asiwe anafeli na kichwa kishachanganya na mambo ya mademu uanze kumuuliza factors influencing population distribution si utamuua??
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom