HahaahahhhMbona hemed ana PHD
Diploma umefika mbali,form 6 hajafikaHivi unafahamu kwamba Diamond hana hata diploma?
Je maisha yake yakoje? Wewe ni mjinga.
Rubbish.
Nenda chuo cha sanaa bagamoyo halafu urudi kuandika huu ujinga wako.
Mbona povu jingi au na we huna cheti cha la saba, mada inahusu elimu sio hela
The Rock mbona nae ni wwe?Habari ya jumamosi wakuu.
Najaribu kujiuliza, katika fani hii ya uigizaji Tanzania au maarufu kama Bongo Movie, kuna muigizaji ana elimu ya kiwango cha shahada au zaidi?
Nasikia kwenye Muziki wapo waimbaji wenye shahada moja na kuendelea kama Nick Mbishi kama sijakose anasikia ana shahada ya uzamili(masters degree).
Au Tanzania sanaa ya uigizaji imebakia kua ni kipaji hata kama hujui kusoma na kuandika. Wasanii wetu hawa kiwango chao cha shule kikoje. Au ndio vile ukiwa na matako makubwa na ukajua kutembea na chupi tu na dadies nyingi unakua muigizaji mkubwa?
The Rock ana shahada ya criminology, David Otunga ana Masters degree ya sheria toka Havard university, ni sehemu wa waigizaji wakubwa wenye shule kubwa.
Je Bongo movie hali yao ikoje?
Ahsante.
Duh!with criminology in unplanned suiccide
Ndio wapoHabari ya jumamosi wakuu.
Najaribu kujiuliza, katika fani hii ya uigizaji Tanzania au maarufu kama Bongo Movie, kuna muigizaji ana elimu ya kiwango cha shahada au zaidi?
Nasikia kwenye Muziki wapo waimbaji wenye shahada moja na kuendelea kama Nick Mbishi kama sijakose anasikia ana shahada ya uzamili(masters degree).
Au Tanzania sanaa ya uigizaji imebakia kua ni kipaji hata kama hujui kusoma na kuandika. Wasanii wetu hawa kiwango chao cha shule kikoje. Au ndio vile ukiwa na matako makubwa na ukajua kutembea na chupi tu na dadies nyingi unakua muigizaji mkubwa?
The Rock ana shahada ya criminology, David Otunga ana Masters degree ya sheria toka Havard university, ni sehemu wa waigizaji wakubwa wenye shule kubwa.
Je Bongo movie hali yao ikoje?
Ahsante.
Kuna mmja nmesoma nae anaigiza na ana degreeHabari ya jumamosi wakuu.
Najaribu kujiuliza, katika fani hii ya uigizaji Tanzania au maarufu kama Bongo Movie, kuna muigizaji ana elimu ya kiwango cha shahada au zaidi?
Nasikia kwenye Muziki wapo waimbaji wenye shahada moja na kuendelea kama Nick Mbishi kama sijakose anasikia ana shahada ya uzamili(masters degree).
Au Tanzania sanaa ya uigizaji imebakia kua ni kipaji hata kama hujui kusoma na kuandika. Wasanii wetu hawa kiwango chao cha shule kikoje. Au ndio vile ukiwa na matako makubwa na ukajua kutembea na chupi tu na dadies nyingi unakua muigizaji mkubwa?
The Rock ana shahada ya criminology, David Otunga ana Masters degree ya sheria toka Havard university, ni sehemu wa waigizaji wakubwa wenye shule kubwa.
Je Bongo movie hali yao ikoje?
Ahsante.
Mawazo ya kijinga na kimasikini. Mawazo ya kukata tamaa ya maisha.Kama wana hela, hizo degree sio ishu sana. Hela ndo za msingi. Kujisifia degree ni kizamani sn mkuu. Mi mwnyw na elimu yng maisha yananipiga vitasa vya uso kichizi yn. Bora hata ile miaka mi3 ya chuo, ningekuwa nipo kitaa nasaka noti.
Mkuu hata Masters ni degree, inaitwa masters degree, na hiyo nyingine ambayo ni first degree inaitwa Bachelor degree na ile ya tatu inaitwa PhD degree. Zote hizo ni degree, sasa ukisema ana degree au masters inaonekana hujui kitu.Sinta(wa nature enz hzo) ana degree au masters cna uhakika ni ipi.
Sio chopa mchopanga kweli huyo au km anakigugumizi flani hvieYupo jamaa mmoja hivi Jina limenitoka ila kuna muvi amecheza na marehemu kanumba inaitwa kijiji cha tambua haki, amecheza kama jamaa mnoko! Ana degree ya political science, now yupo Chama cha Mapinduzi
Labda PhD ya MapenziMbona hemed ana PHD
We kama unasoma ili upate hela jumatatu peleka tu barua ya kusitisha masomo,Ukisoma unapata posho tu ya kukusaidia kuishi huku ukifanya kile unachokipenda kuhudumia jamii, elewa mada tunaonglea kusoma hatuongelei kupata hela. Kuna maprof kibao ila hela ya kuungaunga. Aya swali ni hivi kuna bongo movie myenye degree .?Fala wewe sasa unasoma ili iweje?