Mwambie kwamba pia katika jambo kuna exceptionsHiki ulichokiandika kinahusiana vipi na swali langu?
Diamond kukosa hata Diploma kunahusiana vipi na swali langu?
Diamond ni msanii wa Bongo Movie?
Mbona hata Msukuma au Bashite hawana shule, maisha yao yakoje?
Usionekane tu kua umechangia, changia kitu cha maana.Changia kitu chenye mantiki.
Nimesema KAMA WANA HELA..!!! Hyo sentensi haijamaanisha kwamba wana helaEmbu nitajie bongo movie mwenye hela.
Kuna yule anajiita Pastor Mayamba, ni classmate wa Joshua Nasari, Nick Mbishi na masela wengine. Na ni graduate wa udsm Sociology, wote wakiwa social policy planning and administration.Habari ya jumamosi wakuu.
Najaribu kujiuliza, katika fani hii ya uigizaji Tanzania au maarufu kama Bongo Movie, kuna muigizaji ana elimu ya kiwango cha shahada au zaidi?
Nasikia kwenye Muziki wapo waimbaji wenye shahada moja na kuendelea kama Nick Mbishi kama sijakose anasikia ana shahada ya uzamili(masters degree).
Au Tanzania sanaa ya uigizaji imebakia kua ni kipaji hata kama hujui kusoma na kuandika. Wasanii wetu hawa kiwango chao cha shule kikoje. Au ndio vile ukiwa na matako makubwa na ukajua kutembea na chupi tu na dadies nyingi unakua muigizaji mkubwa?
The Rock ana shahada ya criminology, David Otunga ana Masters degree ya sheria toka Havard university, ni sehemu wa waigizaji wakubwa wenye shule kubwa.
Je Bongo movie hali yao ikoje?
Ahsante.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona hemed ana PHD
Kweli ni Niki wa pili also Mwana FA ana bachelor ya accounts..Niki mbishi hana Masters..Utakuwa unamzungumzia Niki wa Pili
Mbona hemed ana PHD
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mbona hemed ana PHD
sasa na wewe, ukiwa na degree utakuwaje bongo movie? you become a bongo movie baada ya shule kushindwa na akili yako haijawa nzuri sana. mtu mwenye staha na elimu ni vigumu sana kuigiza. the worse thing ni kwamba, akili zetu zinalishwa na watu wasio na elimu na ufahamu mzuri, na ndiyo society tunayoijenga. kuna watu wanaishi maisha ya bongo movie, hawawezi kupita hapo.Habari ya jumamosi wakuu.
Najaribu kujiuliza, katika fani hii ya uigizaji Tanzania au maarufu kama Bongo Movie, kuna muigizaji ana elimu ya kiwango cha shahada au zaidi?
Nasikia kwenye Muziki wapo waimbaji wenye shahada moja na kuendelea kama Nick Mbishi kama sijakose anasikia ana shahada ya uzamili(masters degree).
Au Tanzania sanaa ya uigizaji imebakia kua ni kipaji hata kama hujui kusoma na kuandika. Wasanii wetu hawa kiwango chao cha shule kikoje. Au ndio vile ukiwa na matako makubwa na ukajua kutembea na chupi tu na dadies nyingi unakua muigizaji mkubwa?
The Rock ana shahada ya criminology, David Otunga ana Masters degree ya sheria toka Havard university, ni sehemu wa waigizaji wakubwa wenye shule kubwa.
Je Bongo movie hali yao ikoje?
Ahsante.
Unajua mashaka yangu hadi kuuliza hili swali yanatokana na kwamba ijumaa niliwahi kurudi hom, kisha nikajichanganya sebuleni, nikakuta watu wanaangalia hizo sinema za Bongo, kisha nikamuona dogo mmoja nilisoma nae Ordinary Level Secondary school, alikua nyuma yangu darasa moja ila tunafahamiana ingawa ni miaka mingi hatujaonana, nikamuona kwenye hizo sinema, nikashangaa zaidi toka lini huyu dogo ni muigizaji. Huyu dogo ni kilaza kweli kweli, ila sasa ni muigizaji mkubwa. Alifikia form four akapata sifuri.sasa na wewe, ukiwa na degree utakuwaje bongo movie? you become a bongo movie baada ya shule kushindwa na akili yako haijawa nzuri sana. mtu mwenye staha na elimu ni vigumu sana kuigiza. the worse thing ni kwamba, akili zetu zinalishwa na watu wasio na elimu na ufahamu mzuri, na ndiyo society tunayoijenga. kuna watu wanaishi maisha ya bongo movie, hawawezi kupita hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee nimecheka kichiziMbona hemed ana PHD