Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako wengi baadhi ni Dr chain, Mzee chiro na senga[emoji12] [emoji12]Habari ya jumamosi wakuu.
Najaribu kujiuliza, katika fani hii ya uigizaji Tanzania au maarufu kama Bongo Movie, kuna muigizaji ana elimu ya kiwango cha shahada au zaidi?
Nasikia kwenye Muziki wapo waimbaji wenye shahada moja na kuendelea kama Nick Mbishi kama sijakose anasikia ana shahada ya uzamili(masters degree).
Au Tanzania sanaa ya uigizaji imebakia kua ni kipaji hata kama hujui kusoma na kuandika. Wasanii wetu hawa kiwango chao cha shule kikoje. Au ndio vile ukiwa na matako makubwa na ukajua kutembea na chupi tu na dadies nyingi unakua muigizaji mkubwa?
The Rock ana shahada ya criminology, David Otunga ana Masters degree ya sheria toka Havard university, ni sehemu wa waigizaji wakubwa wenye shule kubwa.
Je Bongo movie hali yao ikoje?
Ahsante.
MakondeHabari ya jumamosi wakuu.
Najaribu kujiuliza, katika fani hii ya uigizaji Tanzania au maarufu kama Bongo Movie, kuna muigizaji ana elimu ya kiwango cha shahada au zaidi?
Nasikia kwenye Muziki wapo waimbaji wenye shahada moja na kuendelea kama Nick Mbishi kama sijakose anasikia ana shahada ya uzamili(masters degree).
Au Tanzania sanaa ya uigizaji imebakia kua ni kipaji hata kama hujui kusoma na kuandika. Wasanii wetu hawa kiwango chao cha shule kikoje. Au ndio vile ukiwa na matako makubwa na ukajua kutembea na chupi tu na dadies nyingi unakua muigizaji mkubwa?
The Rock ana shahada ya criminology, David Otunga ana Masters degree ya sheria toka Havard university, ni sehemu wa waigizaji wakubwa wenye shule kubwa.
Je Bongo movie hali yao ikoje?
Ahsante.
Mmesahau tatizo moja tu kutokana na mada husika pamoja na post yng. Tatizo hilo ni kwamba KUELIMIKA NA KUWA NA DEGREE NI VITU VIWILI TOFAUTI, JAPO PIA HUTEGEMEANA....!!!Kuelimika na kutajirika ni vitu viwili tofauti. Ila elimu Mara jitihada inaongeza sana wigo wa kufanikiwa kimaisha. Ukiwa na elimu na ukiteseka kimaisha ujue Kuna baadhi ya nati haziko sawa up stairs.
Namshukuru Mungu.... sina pesa ndeeefu ila alhamdulillah. Lakini sina elimu. Ni msingi tu. Shida ya kutokua na elimu naiona sana. Wawe wabunifu na wafikirifu hawa watu wa bongo movie. Superstars wengi hawakusoma ila wabunifu wapo makini na wameajiri waliosoma.
Sijaelewa msingi wa hoja yako ni nini hasa lakini kwa kuangalia hapo kwenye RED, unaonekana lengo lako ni lile la Wabongo wengi kukashifu Bongo Movie or else, sijui suala la makalio makubwa limetoka wapi manake, waigizaji wengi wana maumbo ya kawaida tu!!Au Tanzania sanaa ya uigizaji imebakia kua ni kipaji hata kama hujui kusoma na kuandika. Wasanii wetu hawa kiwango chao cha shule kikoje. Au ndio vile ukiwa na matako makubwa na ukajua kutembea na chupi tu na dadies nyingi unakua muigizaji mkubwa?
The Rock ana shahada ya criminology, David Otunga ana Masters degree ya sheria toka Havard university, ni sehemu wa waigizaji wakubwa wenye shule kubwa.
Mkuu ukiangalia vizuri sijapost kitu tofauti na post yako wala sijaigusa kabisa. Nimeisoma na kuielewa na ina point zake muhimu. Ila ukiangalia nilichoandika nilijibu mtu aliesema kua elimu si kitu na kujutia miaka yake mitatu alioipoteza chuoni.Mmesahau tatizo moja tu kutokana na mada husika pamoja na post yng. Tatizo hilo ni kwamba KUELIMIKA NA KUWA NA DEGREE NI VITU VIWILI TOFAUTI, JAPO PIA HUTEGEMEANA....!!!
Unaweza ukawa na degree but hujaelimika na unaweza ukawa huna degree ila umeelimika.
Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ha ha ha! Nimeipenda Sana hasa hapo pakuja amebanwa mavi halafu anakuja kuharisha humu. Hawa ni wale wenzetu ambao hawakusoma shule halafu wanajifichia kwenye migongo ya ambao hawajasoma tena wachache mno wenye mafanikio!Huyo ni kilaza.
Unajua haya ndio matatizo ya Cocacola kufunga free Wifi milembe, sasa hata machizi wana access na mtandao.
Ndio maana nimempa mifano mingine, kama anadhani Diamond ndie mwenyewe asie na shule mwenye hela, nimempa mifano mingine.
Hoja hapa sio hela, ni shule. Mtu anatoka huko amebanwa na mavi anakuja kuharisha humu.
Elimu ya bure kabisa umetoa mkuu humu bahati mbaya wagonjwa wengiMawazo ya kijinga na kimasikini. Mawazo ya kukata tamaa ya maisha.
Huwezi ku-ignore umuhim wa shule kisa wewe huna kazi.
Madhumuni ya msingi ya elimu sio kukusaidia upate kazi, ni kukuondolea ujinga na utaahira kichwani mwako, ni kufungua kichwa chako.
Wewe bado hujaenda shule. Rudi shule.
Ni wajinga tu wanaweza ku-ignore umuhimu wa shule.Elimu ya bure kabisa umetoa mkuu humu bahati mbaya wagonjwa wengi
Mtaje bhasiKuna mmja nmesoma nae anaigiza na ana degree
Haaa. .haaa...haaa !Mbona hemed ana PHD
Sinta ana cheti cha journalism, alipelekwa uganda.Sinta(wa nature enz hzo) ana degree au masters cna uhakika ni ipi.
Embu nitajie bongo movie mwenye hela.Kama wana hela, hizo degree sio ishu sana. Hela ndo za msingi. Kujisifia degree ni kizamani sn mkuu. Mi mwnyw na elimu yng maisha yananipiga vitasa vya uso kichizi yn. Bora hata ile miaka mi3 ya chuo, ningekuwa nipo kitaa nasaka noti.