Hivi BoT inahusika kutapeli watanzania kupitia hizi pyramid schemes?

Hivi BoT inahusika kutapeli watanzania kupitia hizi pyramid schemes?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Pyramid scheme iliyovuma kuliko zote ilikuwa DECI. Watu tulifahamu kuwa baada ya ile watu watajifunza na mamlaka zitajifunza na kitu kile hakitakuja tokea tena.

Lakini kumbe ni kama DECI ilifungua mlango wa soko la upatu. Zimepita pyramids schemes nyingi sana hapa kati. Kila moja watu wakilia. Na mambo hizi hazifanyiki sirini. Yanafanyika waziwazi.

Kwa nini BOT wanashindwa kuzuia hivi vitu? Au nayo inahusika kutapeli watu?
 
Lazima kuna watu wanahusika

Ova
 
Hawazuii kwa Sababu wakizuia mapema hawatapata pesa nyingi wkt wa kubinafsisha hizo pesa za Pyramid,mfano mzuri ni Kwny DECI,MR. Kuku wamebinafsisha Mabilioni ya shilling.
 
Watu wanJitangaza hadi kwenye TV na serikali ipo kimya tu. Haya wekeza kwenye kilimo cha vanilla kilo million 1
 
wako wakini siyo kama hawazioni

wanasubiri vibubu visome B huko then vinakua seized na DPP chap
 
Back
Top Bottom