Hivi BOT na TCRA wako wapi hizi riba za mikopo ya Tigo na Airtel?

Kwa hiyo nisiuze nikalipe madeni ya wakulima na mbegu nisubiri mkimaliza kujenga kiwanda?
Sasa tutafanyaje mkuu wakati nambari wan ndo kashasema Tanzania ni ya viwanda??

Enzi za Kilimo kwanza zimeshapita mkuu.
 
Sasa tutafanyaje mkuu wakati nambari wan ndo kashasema Tanzania ni ya viwanda??

Enzi za Kilimo kwanza zimeshapita mkuu.
Hehe, sorry brother niliquote vibaya.
 
Lakini wakati wa kukopa si ulikubali masharti na vigezo lawama za nini Kama ulikuwa unajua gharama ziko juu kwa nini ulijiunga mpaka unaweka password ulikuwa hujui kwamba ni asilimia ishirini na moja acheni mambo ya ajabu kama kitu huwezi unaacha na sio umeshakopa unakuja hapa kulalamika tu pasipo sababu.
 
Risk kweli kubwa nilikopa laki pumbavu tigo, wanakukata ribw bado ela ya kutolea, nimewadhurumu mpk leo cwalipi
 
Me nimewakopa tigo laki mbili na silipi
 
Acha usumbufu, USIKOPE!
Wewe ndiyo unajua faida na hasara, achana nao kama riba kubwa nenda VICOBA
 
Sema wanasaidia, Lakini Airtel Money ndo wezi , Mimi wananikopa laki saba lakini baada ya wiki tatu unarudisha riba 185,000 , VODA hao angalau lakini Mkopo wao ni pesa kidogo mimi wananikopesha mwisho laki nne,
Kama wewe ni mfanyabiashara, tena wa jati au mkubwa, it makes sense, lakini kama ni mfanyakazi, mwalimu kama mimi, ninayetegemea kulipa kwa kutumia mshahara hizi riba ni kubwa sana wajameni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…