Hivi boxer inatakiwa ivaliwe kwa siku ngapi?

Hivi boxer inatakiwa ivaliwe kwa siku ngapi?

MR LINKO

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2016
Posts
3,034
Reaction score
3,526
Swali kwa wadau wote wa boxer.

Swali jepesi sana.

Mimi kawaida huwa na vaa boxer miezi 6 hadi 8 kisha ndo nafua huyo ni mimi.
Siijajua kwa ninyi wadauu

Kuwa mkwelii tu

FB_IMG_1558458597315.jpeg
 
Mi bhana hizi huwa nazinunua kwa mafungu na kinachofuata hapo, ni vaa, tupa uvunguni! Vaa, tupa uvunguni! Kwa bahati mbaya nimesafiri, ningezifurumua huko uvunguni kuona zipo ngapi na chini ya godoro ambazo sijavaa zimebaki ngapi na hapo ningefahamu by average natumia wiki ngapi! Oh! Nimekumbuka! Hello my Princess Queen Khantwe; hebu nenda basi pale ghetto ukanisaidie hilo zoezi!
 
Kama umeoa ni moja kwa siku.

Kama hujaoa, unavaa mpaka ukipata kazi unanunua mpya ya zamani unatupa. Siku ukipata kazi tena unatupa hiyo unanunua mpya.

Changamoto ni pale unapata kazi ya kushtukiza, nilishawahi kutupa boxer kwenye dustbin ya hotelini kabla, sikumbuki ilikuwaje.
[emoji23][emoji23][emoji23]mmetisha kwa uchafu
 
Back
Top Bottom