Wasiwasi wako tu baby huyo ndugu yangu wa damu kabisaaaNahisi kuna vivulana hapa vinakupigia misele huku nikikuona it's a matter of time watacheza heko [emoji174][emoji174]!! I'm not insecure my angel but oh Lord, my heart keep spinning every time I see that guy so called RRONDO akijifanya eti ndugu yako! Is he?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo ilikuwa ndiyo formula yangu, ila siku hiyo nilikosa timing ya kununua mpya, kwa hiyo nikaipoteza niliyokuwa nayo.
Nikaulizwa boxer iko wapi, nikasema sina. Akaitafuta akaipata. Anauliza kwa nini sifui, nikamwambia hakuna mtu wa kunifulia.
Tulitoka hapo tukaenda kununua 10, akawa kila weekend akija anataka kuona 7 chafu anafua. Weekend asipokuja inabidi nilazimike kufua mwenyewe vinginevyo akija hakuna mambo. Mpaka nikazoea.
Utakua una bleed mkuu, Mwanaume uvae boxer Siku moja? Sox ni wiki 3 vest ndio siku 5Na vest pia, mara moja,
Sox mara moja,
Kwenye kabati boxa zisipungue 10
Vest 10, sox pea 10, n.k
Assalam aleykum habibiWasiwasi wako tu baby huyo ndugu yangu wa damu kabisaaa
Amekuumiza? Okee, pole sana.Si kuna uzi fulani hivi nimemwambia kaniumiza akaja kuniambia 'nikome' eti
Aleyku salaam mpenzi uko poa?Assalam aleykum habibi
Duuh hivi kumbe hadi leo kuna wanaume mkiulizwa kwanini hamfui mnasema hamna wa kuwafulia?
Kabisa mkuuUko sawa mkuu, asa wengine sijui wana imani gani
Uanaume ni akili na tabia na siyo umri wala umbo ila hongera kwa kujitahidi kufanya kazi huku unasoma shule
Siku tatu bwanaWanaume wengi wao wachafu kumbe, boxer ivaliwe siku moja tu
Vest itategemea na rangi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Na vest pia, mara moja,
Sox mara moja,
Kwenye kabati boxa zisipungue 10
Vest 10, sox pea 10, n.k
Kwahyo unavaa ivoivo au unatafuta yenye nafuu uvae?Huwa na chukia pale nimebadili boxer alafu usiku wake nimeota ndoto nyevu dah! Kuja kuchek tiyari nimechafua boxer na ndiyo iliyokua imebakia [emoji37]
Teh!Amekuumiza? Okee, pole sana.