Daktari wa Meno upo vizuri sana.... Vipi uzi mwengine unapandisha lini? Usisahau kunitagBreaking News ni Habari inayotokea bila kudhaniwa, mara nyingi habari hiyo kulenga kundi kubwa la watu au jamii fulani. Sio kila habari iliyotokea ghafla ina sifa za kuwa breaking news ila Habari huwa sifa ya kuwa breaking news kwa namna ambavyo inahusisha watu wengi.
Mwanaume kamuua mkewe kwa kipigo huko Msamvu sio breaking news hiyo ila hapo Msamvu kumetokea ajali ya basi hiyo ni breaking news.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepigiwa simu nije nimjibu huyo. Nitaendelea kesho tena nikitoka kazini.Daktari wa Meno upo vizuri sana.... Vipi uzi mwengine unapandisha lini? Usisahau kunitag
Breaking News ni Habari inayotokea bila kudhaniwa, mara nyingi habari hiyo kulenga kundi kubwa la watu au jamii fulani. Sio kila habari iliyotokea ghafla ina sifa za kuwa breaking news ila Habari huwa sifa ya kuwa breaking news kwa namna ambavyo inahusisha watu wengi.
Mwanaume kamuua mkewe kwa kipigo huko Msamvu sio breaking news hiyo ila hapo Msamvu kumetokea ajali ya basi hiyo ni breaking news.
Rais kufanya ziara sio breaking news ila kwenye hiyo ziara yake akimfuta kazi waziri mkuu ile inakuwa breaking news.
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Mtanesco umefafanua vizur nadhan mleta uzi atakua kakuelewa
Braking[emoji777]Zaidi ya mara mbili sasa kituo maarufu zaidi kwa habari nchini. Ghafla tu kinakatiza matangazo na kutuletea breaking news. "BREAKING NEWS: Idadi ya visa vya Corona nchini Kenya yafikia watu 172".. Kwa hali ya sasa ambapo baadhi ya watu wapo quarantine, wengine wanasubiria vipimo ni dhahiri idadi itaogezeka, na sio kwa mara ya kwanza ugonjwa, Breaking news inatokea wapi?