Hivi Braking news ni habari yenye sifa ipi!

Hivi Braking news ni habari yenye sifa ipi!

Cvez

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2018
Posts
4,405
Reaction score
13,411
Zaidi ya mara mbili sasa kituo maarufu zaidi kwa habari nchini. Ghafla tu kinakatiza matangazo na kutuletea breaking news. "BREAKING NEWS: Idadi ya visa vya Corona nchini Kenya yafikia watu 172".. Kwa hali ya sasa ambapo baadhi ya watu wapo quarantine, wengine wanasubiria vipimo ni dhahiri idadi itaogezeka, na sio kwa mara ya kwanza ugonjwa, Breaking news inatokea wapi?
 
Zaidi ya mara mbili sasa kituo maarufu zaidi kwa habari nchini. Ghafla tu kinakatiza matangazo na kutuletea breaking news. "BREAKING NEWS: Idadi ya visa vya Corona nchini Kenya yafikia watu 172".. Kwa hali ya sasa ambapo baadhi ya watu wapo quarantine, wengine wanasubiria vipimo ni dhahiri idadi itaogezeka, na sio kwa mara ya kwanza ugonjwa, Breaking news inatokea wapi?
 
breaking newz ni habari yenye sifa ya kutetemesha mwili
 
Ni habari kali Sana yani zile kaliiiiii halafu sanaaaa..
 
Breaking news ni habari ya ghafra inayotakiwa itangazwe haraka iliwatu wapate habari kwa muda huo.
 
Hujasikia kina dada wanasema nitue nitue [emoji23]
Yaani za motomoto


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Breaking News ni Habari inayotokea bila kudhaniwa, mara nyingi habari hiyo kulenga kundi kubwa la watu au jamii fulani. Sio kila habari iliyotokea ghafla ina sifa za kuwa breaking news ila Habari huwa sifa ya kuwa breaking news kwa namna ambavyo inahusisha watu wengi.

Mwanaume kamuua mkewe kwa kipigo huko Msamvu sio breaking news hiyo ila hapo Msamvu kumetokea ajali ya basi hiyo ni breaking news.

Rais kufanya ziara sio breaking news ila kwenye hiyo ziara yake akimfuta kazi waziri mkuu ile inakuwa breaking news.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Breaking News ni Habari inayotokea bila kudhaniwa, mara nyingi habari hiyo kulenga kundi kubwa la watu au jamii fulani. Sio kila habari iliyotokea ghafla ina sifa za kuwa breaking news ila Habari huwa sifa ya kuwa breaking news kwa namna ambavyo inahusisha watu wengi.

Mwanaume kamuua mkewe kwa kipigo huko Msamvu sio breaking news hiyo ila hapo Msamvu kumetokea ajali ya basi hiyo ni breaking news.



Sent using Jamii Forums mobile app
Daktari wa Meno upo vizuri sana.... Vipi uzi mwengine unapandisha lini? Usisahau kunitag
 
Breaking News ni Habari inayotokea bila kudhaniwa, mara nyingi habari hiyo kulenga kundi kubwa la watu au jamii fulani. Sio kila habari iliyotokea ghafla ina sifa za kuwa breaking news ila Habari huwa sifa ya kuwa breaking news kwa namna ambavyo inahusisha watu wengi.

Mwanaume kamuua mkewe kwa kipigo huko Msamvu sio breaking news hiyo ila hapo Msamvu kumetokea ajali ya basi hiyo ni breaking news.

Rais kufanya ziara sio breaking news ila kwenye hiyo ziara yake akimfuta kazi waziri mkuu ile inakuwa breaking news.


Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE

Mtanesco umefafanua vizur nadhan mleta uzi atakua kakuelewa
 
Zaidi ya mara mbili sasa kituo maarufu zaidi kwa habari nchini. Ghafla tu kinakatiza matangazo na kutuletea breaking news. "BREAKING NEWS: Idadi ya visa vya Corona nchini Kenya yafikia watu 172".. Kwa hali ya sasa ambapo baadhi ya watu wapo quarantine, wengine wanasubiria vipimo ni dhahiri idadi itaogezeka, na sio kwa mara ya kwanza ugonjwa, Breaking news inatokea wapi?
Braking[emoji777]
Breaking [emoji818]
 
Mpendwa mteja, tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya #CORONAVIRUS
 
Breaking news ni taarifa ambazo hukuwa nazo zinapotolewa.

Zinapotokea habari mpya ndani au wakati wa breaking news tunaziita Burning news.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom