Ukiona hvyo ujue raia walisha kataa tamaa wameamua wakae upande utakao wapa aman ya moyo na faraja ambayo ni soccerCcm inapenda sana watu wanaoshabikia mpira
Hawa hawana muda na katiba mpya, utekaji, ufisadi, rushwa wala chochote chenye masilahi makubwa kwa taifa
Ni watu wanaopenda kujadili watu na matukio.
Binafs nawachukieni sana wana siasa.Ccm inapenda sana watu wanaoshabikia mpira
Hawa hawana muda na katiba mpya, utekaji, ufisadi, rushwa wala chochote chenye masilahi makubwa kwa taifa
Ni watu wanaopenda kujadili watu na matukio.
NakubaliCAF wana "mkono mrefu", hawawezi kukosa kujua..
Watu walikesha jangwani,hakuna pa kukanyaga eti wanafuatilia droo mubashara
Dah basi mpira shetani,hamuendi mbinguniSasa kama ilioneshwa mubashara na CAF, huoni kuwa hilo ndio dhumuni lao
naunga mkonyo hoja yako mkuuBinafs nawachukieni sana wana siasa.
Nyinyi ndio muliotufikisha hapa.
Nilipogundua kua nchi hii haina mpinzani wakweli, wote wanatuigizia tu, ndipo nikaamua kutafuta furaha kwente soccer, ili nisifuatilie upuuzi (siasa) wenu.
Kiufupi mkuu, wacha watu waishi maisha na wafurahiye wakipendacho, maana kwa hakika maisha yetu ni mafupi tu.
Wewe ukipenda siasa inatosha. Usitupangie maisha EBO!!!Kwa jicho la kipekee sana.
Watanzania wanapenda sana mpira na wanapuuza mambo ya msingi.
Hutosikia wakipigia kelele ujinga unaofanywa na viongozi kama mambo ya kodi n.k
Huo mkonyo ukate tu mkuunaunga mkonyo hoja yako mkuu
We unaumia wapNadhani wenyewe hawajui ila bora wangeweka HQ yao iwe Dar tu kwakeli.
Huku Tanzania toka jana habari ya mjini ni makundi yaliyopagwa huko CAF champions league na CAF confederation cup.
Hii nchi watu wanapenda mpira kuliko chochote nadhani serikali ifanye jambo kuifanya Tanzania kuwa kama Brazil kwa Africa.
Toka lini mtu aliekata tamaa akawa na amani ya moyo ?Ukiona hvyo ujue raia walisha kataa tamaa wameamua wakae upande utakao wapa aman ya moyo na faraja ambayo ni soccer
Bahati mbaya sana mpira hautupendi tumebaki kujengeana chuki tu.Toka lini mtu aliekata tamaa akawa na amani ya moyo ?
Tuseme tu ukweli watanzania walio wengi ni wajinga.
Ww ndo umenenaUkiona hvyo ujue raia walisha kataa tamaa wameamua wakae upande utakao wapa aman ya moyo na faraja ambayo ni soccer