Hivi CAF wanajua kwa huku Tanzania tukio la kupanga makundi tu limekuwa ni habari ya kitaifa?

Hivi CAF wanajua kwa huku Tanzania tukio la kupanga makundi tu limekuwa ni habari ya kitaifa?

Ccm inapenda sana watu wanaoshabikia mpira
Hawa hawana muda na katiba mpya, utekaji, ufisadi, rushwa wala chochote chenye masilahi makubwa kwa taifa
Ni watu wanaopenda kujadili watu na matukio.
Watu wamekataa kutumika na wanasiasa.
Wamechagua furaha.
Sasa watu wa mpira ndiyo wanawatumia wanasiasa kufanikisha mambo yao ya mpira na uchumi utokanao na mpira.
Angalia wanasiasa wanavo mwaga pesa kwenye mpira. Eg. Ujenzi viwanja, ahadi za pesa, matamasha ya mpira sijui ' fulani cup', .... n.k.
 
Nadhani wenyewe hawajui ila bora wangeweka HQ yao iwe Dar tu kwakeli.

Huku Tanzania toka jana habari ya mjini ni makundi yaliyopagwa huko CAF champions league na CAF confederation cup.

Hii nchi watu wanapenda mpira kuliko chochote nadhani serikali ifanye jambo kuifanya Tanzania kuwa kama Brazil kwa Africa.
Kwa waanzania hata serikali ivurunda vipi huwezi kuwasikia wakilalamika, akili zao ziko kwenye mpira tu.
 
Nataka niwape madini watanzania kitu ambacho vijana wa sasa hawajui.Miaka ya sabini mwanzoni tulikuwa sawa kimpira na nchi za afrika magaharibi.Timu za huko ilikuwa wakicheza na timu za TZ aidha wanafungwa au wanaambulia sare ! Sisi level yetu ilikuwa ni Brazil ! Timu kama Santos ya Brazil waliwahi kuja Dar es Salaam kwa mwaliko wa Yanga ! Kitu ambacho leo hii si rahisi.
Ukitaka kujua pia kuwa wa TZ wanapenda mpira ikifika mida ya jioni fanya utafiti barabara ya morogoro kuelekea kibaha njiani kuna viwanja vingapi wanacheza mpira na mara nyingi vinakuwa vimejaa ! viwanja ni vingi manaake watu wanapenda mpira kama ilivo taifa la Brazil ! Kinachokosekana kwetu ni uongozi bora tu !
Sisi tunastahili kuwa taifa bora katika mpira kuliko nchi yoyote ya Africa !
Uongozi na mipango ambayo Ina muendelezo imekuwa ni tatizo kwa maendeleo ya soka
 
Na hilo ndo lengo kuu la serikali ya CCM ,watu wawekeze muda mwingi kwenye mambo kama haya ili wao waendelee kupiga mipesa na kutawala bila presha.
 
Ccm inapenda sana watu wanaoshabikia mpira
Hawa hawana muda na katiba mpya, utekaji, ufisadi, rushwa wala chochote chenye masilahi makubwa kwa taifa
Ni watu wanaopenda kujadili watu na matukio.
Ndio maana serikali inanunua magoli kuwapumbaza zaidi wajinga.
 
Back
Top Bottom