Hivi category za nyimbo Bongo huwa inategemea kaimba nani?

Hivi category za nyimbo Bongo huwa inategemea kaimba nani?

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Vipindi vingi vya miziki ni Bongo Fleva, utasikia top ten ya bongo fleva. Hutosikia wanapiga sebene la Nyosh El Sadat wala Patcho. Ila sasa ikitokea Alikiba kaimba sebene kama Chekecha au Mwanadar es Salaam, au Diamond na sebene lake la Waah, utalisikia linapigwa kwenye hivyo vipindi.

Sasa najiuliza hivi category za miziki ya bongo inategemea aliyeimba ni nani?

Hii naiona hata kwenye nyimbo za gospel za siku hizi, mtu anaimba inspiration song ili mradi kataja yesu au mstari mmoja basi watauita gospel pia.
 
Bongo flavor ni nini? Tuanzie hapo kwanza.
Technically ni ladha zote zinazoimbw bongo, lakini kwa tafsiri ya wengi ni hii miziki za baibuda, rap, hip hop, hawata mention taarab, sebene zenye asili za Congo kama zimo kwenye bongo fleva.
 
Na kinachochanganya zaidi hata hao wanaoaminika kwamba wanaimba bongo fleva wanakopi staili za Nigeria.
Technically ni ladha zote zinazoimbw bongo, lakini kwa tafsiri ya wengi ni hii miziki za baibuda, rap, hip hop, hawata mention taarab, sebene zenye asili za Congo kama zimo kwenye bongo fleva.
 
Na kinachochanganya zaidi hata hao wanaoaminika kwamba wanaimba bongo fleva wanakopi staili za Nigeria.
Kwasasa naona ladha nyingi za wanaija na sometimes Wasouth ile style ya akina DJ Maphorisa
 
Bora hata nyimbo za singeli zikiitwa bongo fleva kidogo inaleta mantiki kwa sababu hawajakopi kwa nchi nyingine
Kabisa zile origin yake hapa hapa. identity ya Kitz kabisa
 
Na inapoelekea singeli itaipiku hiyo bongo fleva miaka michache ijayo inakuja kwa speed sana.
Hata katika majukwaa naona waimbaji wa singeli wanaamsha zaidi kuliko hao wa bongo fleva.
Sometimes naonaga hata hao wa bongofleva wakiona hawashangiliwi jukwaani wanaimba singeli ili washangiliwe
Kabisa zile origin yake hapa hapa. identity ya Kitz kabisa
 
Back
Top Bottom