hip hop uchwara
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,616
- 1,282
Umaskin kitu kibaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nguvu ya raisi wa JMT, mgombea binafsi hapana. Labda tupunguze nguvu ya hicho kiti. Pamoja na udhaifu wote ila angalau kichaa akishika nchi chama kinaweza mpa usumbufu wa baadhi ya maamuzi.Na vipi ingekuwa Chadema bila EL kupata nafasi yakugombea, Chadema ikasimamisha mtu wao toka ndani ya chama?
Vyovyote vile, kwa hakika matatizo lukuki ya kiuchumi na kijamii, uchumi ikiwa sababu kuu ndiyo inafaa kutumika kuwaunganisha watanzania ili tuondoe mifumo dhaifu iliyopo sasa.
Tukitumia uchama, udini, ukabila, ukanda tutakuwa tunazunguka duara tu.
Mimi binafsi napenda sana kuona sheria ya mgombea binafsi inakuwepo ili viongozi wa kweli bila kuwa na mfungamano na chama anaweza kuwapatia watu wake plan ya maendeleo iwe ngazi ya mtaa, wilaya, jiji au nchi.
Kudhani watu wanaotoka katika vyama vya siasa pekee ndiyo wanastahili kuwa viongozi si sahihi.
Ungeshauri hivyo wakati Dictator uchwara alipochafua uchaguzi wa 2020Hilo ndilo swali huwa najiuliza siku zote.
Wazi huwa yapo mambo mengi ambayo kwa macho ya kawaida kabisa, huhitaji Vyombo vya Dola viikemee Serikali inayoongozwa na CCM kwa kuhatarisha usalama wa Taifa. Ajabu wala hawajishughulishi!
Mbaya zaidi, CCM hutumia sababu ya machafuko kama silaha ya kuwatisha wapenda haki eti Nchi itasambaratika.
Shime wana usalama, wakati umefika muwe upande wa Wananchi wa kawaida. Kuendelea kuilea CCM kama mtoto pendwa ipo siku ulezi huo utazaa haramu.
Hii sio kweli👉Jeshi lipo kwa ajili ya kulinda raia, amani, mipaka ya ardhi na mali za raia na si jambo lingine."Jeshi lipo kwa ajili ya kulinda raia, amani, mipaka ya ardhi na mali za raia na si jambo lingine.
Uchaguzi u karibu mnoo, Tupe mbadala wa CCM tujipime na kama hatutoshi raia wataamua.
2025-2030 CCM ITAPEWA TENA NAFASI YA KUIONGOZA NCHI YETU.
Mbona marais wa Tanzania wanafanya chochote wanachojisikia na hakuna wakuwazuia?Kwa nguvu ya raisi wa JMT, mgombea binafsi hapana. Labda tupunguze nguvu ya hicho kiti. Pamoja na udhaifu wote ila angalau kichaa akishika nchi chama kinaweza mpa usumbufu wa baadhi ya maamuzi.
Katiba imewapa nguvu, Chama ni kama ukuta katika hiyo nguvu waliyopewa.Mbona marais wa Tanzania wanafanya chochote wanachojisikia na hakuna wakuwazuia?
Wanatoka kwenye chama, na pamoja na nguvu waliyonayo Chama somehow kimewapa ukomo wa maamuzi. Hayo waliyoyafanya imagine kusingekuwa na chama. Mfano, ukomo wa madaraka, mchakato wa kutawala milele ukiletwa ccm kunaweza kukakuwepo upinzani kutoka katika chama.Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia hawa hawatoki kwenye chama?
Baada ya vikao vyao vya ndani na kukubaliana.Wewe huoni ccm inavyounga mkono kila kitu anachofanya president?
Kabla ya mgombea binafsi kwanza nguvu ya raisi ipunguzwe mno. Tutaletewa mtu na matajiri huko nje mkija shtuka ni too late.Tukiamua kuwa na mgombea binafsi maana yake lazima tutaona umuhimu pia wa president kuwa na mipaka na si kuwa mfalme.
Kwa sasa Tanzania bara na visiwani ni lazima.Kiongozi si lazima atoke ndani ya chama cha siasa.
Ni katiba na sheria zetu.Mazoea tu hayo.
Soma Katiba ya nchi yako kuelewa majukumu ya Jeshi la nchi yako.Hii sio kweli👉Jeshi lipo kwa ajili ya kulinda raia, amani, mipaka ya ardhi na mali za raia na si jambo lingine."
Jeshi lipo kwa ajili ya maslahi ya establishment,sio wananchi,msidanganye watu.
Unaonekana ni mtu unayependa nadharia au mambo ya kufikirika. Kupiga kura against CCM ni haki yako kama ilivyo haki ya watakao ipigia kura 2025.Finally,CCM is not indipensable,ila mmetengeneza mazingira ya kuifanya iwe indispensable,shame on you.
Aisee,so you believe Katiba ndio muarobaini wa matatizo ya nchi na ukweli wote,sio kweli.Katiba is just a tool for manipulating the unsuspecting masses and imposing the "wishes" of the establishment on the citizenry.That is what the Constitution is,mmelishwa matango, wake up.Soma Katiba ya nchi yako kuelewa majukumu ya Jeshi la nchi yako.
Unaonekana ni mtu unayependa nadharia au mambo ya kufikirika. Kupiga kura against CCM ni haki yako kama ilivyo haki ya watakao ipigia kura 2025.