Zero Hours JF-Expert Member Joined Apr 1, 2011 Posts 12,942 Reaction score 18,669 Oct 30, 2020 #101 Hii uhuni wote tuliutegemea na tulijipanga mapema. Ushahidi ukikamilika mtajua hamjui. Ila pigo la kwanza atakalopata magufuli ni kutokutambulika kimataifa kama Rais wa Tanzania. Hii ni step yakwanza na mengine yaja.
Hii uhuni wote tuliutegemea na tulijipanga mapema. Ushahidi ukikamilika mtajua hamjui. Ila pigo la kwanza atakalopata magufuli ni kutokutambulika kimataifa kama Rais wa Tanzania. Hii ni step yakwanza na mengine yaja.
S Saveya JF-Expert Member Joined Aug 18, 2019 Posts 2,333 Reaction score 2,338 Oct 30, 2020 #102 Mangobase said: Dua la kuku halimpata mwewe Tanzania mpya inakuja, JPM alikua anapanga team yake miaka mitano iliyopita ulikua chamtoto Click to expand... Sio kweli Wafadhili lazima wafanye yao wala sio dua la kuku
Mangobase said: Dua la kuku halimpata mwewe Tanzania mpya inakuja, JPM alikua anapanga team yake miaka mitano iliyopita ulikua chamtoto Click to expand... Sio kweli Wafadhili lazima wafanye yao wala sio dua la kuku
kipara kipya JF-Expert Member Joined May 2, 2016 Posts 18,833 Reaction score 23,276 Oct 30, 2020 #103 Kipangaspecial said: Noma sana Click to expand... Yaani hatari!