Uchaguzi 2020 Hivi CHADEMA walikuwa wanawaambia nini Wananchi wakati wa kampeni?

Uchaguzi 2020 Hivi CHADEMA walikuwa wanawaambia nini Wananchi wakati wa kampeni?

Tanzania ni nchi huru na itajengwa na watanzania wenyewe, hiyo mindset yenu ya kuabudu neocolonialism ni moja ya sababu ya watanzania kuwaadhibu.
-Nchi hii ni Huruu kweli
-Lakini haina uhuru wa kiuchumi
- Wala sio kweli kwamba tunaabudu Neo colonialism bali ni ukweli
-Kwamba tunategemea misaada mwenye bajeti yetu mfano Wb walivyozuia ile 1trilioni mlivyopiga kelele
-Miradi ya dawa za ARV inafadhiliwa, maji,barabara,umeme
-Hivyo basi wafadhili wakigoma kutoa misaada nchi hii itayumba 100%
 
Mnajitoa akili kuhalalisha ushindi wa wizi mlioupata, acheni kujidanganya kama watoto, dunia yote imeuona ujinga mliofanya.
Si mlisema mmejipanga safari hii mnajua kila mbinu na namna ya kukabiliana nayo mbona mwishoni mnaanza kutia tu huruma ...kumbe hamkua na plan yeyote zaidi tu ya mikwara hewa
 
Hicho ndicho mlichobaki nacho. Watz wamewanyoosha kweli kweli na mabeberu yenu.
-Watanzania hawajatunyoosha
-Tume ndiyo imepiga kura na sio watanzania
-Mabeberu wakati wanatoa misaada kibao si unaona magari ya UKAID,USAID barabarani hao ni wafadhili
 
-watanzania hawajatunyoosha
-Tume ndiyo imepiga kura na sio watanzania
-Mabeberu wakati wanatoa misaada kibao si unaona magari ya UKAID,USAID barabarani hao ni wafadhili
Hicho ndicho mlichobaki nacho. Poleni.
 
Naomba kukumbushwa ilani ya Chadema ilikuwa na nini zaidi ya Ushoga??
Kuuza nchi kwa majimbo, kuuza mashirika ya umma yote, kuuza maliasili zetu kwa mabeberu...yani kwa mweleka waliopigwa, hawatakaa wasahau kwa miongo kadhaa. Waambieni mabwana zenu, kitu watanzania walivyowakataa.
 
Mnajitoa akili kuhalalisha ushindi wa wizi mlioupata, acheni kujidanganya kama watoto, dunia yote imeuona ujinga mliofanya.
Dunia gani unayoisema wewe?

Kuna baadhi ya Nchi hawana hata habari kama Tanzania unafanyika uchaguzi, yaani hawafahamu hata kidogo
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Ni dhahiri sasa Tanzania ya Kijani imewezekana. Na hii ni kutokana na uwekezaji mkubwa uliofanyika ndani ya chama chetu. Viongozi wetu wametupeleka ng'ambo kusoma ili tuendeshe chama kisayansi na kuendesha kampeni kisasa na bila jasho.

Kwenye kampeni zetu wagombea wetu kuanzia ngazi ya Urais, Ubunge na udiwani walikuwa wanahubiri maendeleo, amani, utulivu na umoja wetu. Wamehubiri nini tumefanya ndani ya miaka 5 na nini tumeahidi kufanya katika miaka 5 ijayo. Mgombea wetu wa Urais Dr Magufuli ilipobidi alikuwa anatatua kero za papo kwa papo. Kwa kifupi tuliingia ndani ya nafsi za wananchi.

Kikubwa zaidi yule tuliyemjua ni mwenzetu tulihakikisha anapiga kura na tumefanikiwa katika hilo.

Hawa wenzetu sijui walikuwa wanahubiri nini kwenye kampeni zao licha ya kujisifu walikuwa wamejaza watu na wamefanya mikutano mingi kuliko CCM (HOJA YA UONGO). Mbaya zaidi wale waliowakimbilia kwenye kampeni wamekimbia kwenye kupiga kura. Hawakujitokeza mwisho wa siku CCM tumefanikiwa mbinu zetu kwa zaidi ya asilimia 90. Sasa ni dhahiri tunaenda kukamata mihimili yote ya dola. Hivi 2025 wanasalimikaje kwa mfano.

Hii ndio CCM aliyotuachia baba wa Taifa hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kumbuka katibu Mkuu aliyemaliza muda wake Abdulrahman Kinana alisema CCM tuna mbinu zaidi ya 200. Mwaka 2015 tulikuja na mbinu ya BAO LA MKONO. Mwaka 2020 tumetumia mbinu ya Ujanifishaji (Tanzania ya Kijani). 2025 tutakuja na kubwa lao.

Nawasilisha.

Naona wengine mmefurahi sana demokrasia kufa Tanzania sijui kama mnajua hilo kuanzia leo Tanzania sio nchi ya demokrasia! Akili ya kufikiria Chadema pekee inabidi muiache
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Ni dhahiri sasa Tanzania ya Kijani imewezekana. Na hii ni kutokana na uwekezaji mkubwa uliofanyika ndani ya chama chetu. Viongozi wetu wametupeleka ng'ambo kusoma ili tuendeshe chama kisayansi na kuendesha kampeni kisasa na bila jasho.

Kwenye kampeni zetu wagombea wetu kuanzia ngazi ya Urais, Ubunge na udiwani walikuwa wanahubiri maendeleo, amani, utulivu na umoja wetu. Wamehubiri nini tumefanya ndani ya miaka 5 na nini tumeahidi kufanya katika miaka 5 ijayo. Mgombea wetu wa Urais Dr Magufuli ilipobidi alikuwa anatatua kero za papo kwa papo. Kwa kifupi tuliingia ndani ya nafsi za wananchi.

Kikubwa zaidi yule tuliyemjua ni mwenzetu tulihakikisha anapiga kura na tumefanikiwa katika hilo.

Hawa wenzetu sijui walikuwa wanahubiri nini kwenye kampeni zao licha ya kujisifu walikuwa wamejaza watu na wamefanya mikutano mingi kuliko CCM (HOJA YA UONGO). Mbaya zaidi wale waliowakimbilia kwenye kampeni wamekimbia kwenye kupiga kura. Hawakujitokeza mwisho wa siku CCM tumefanikiwa mbinu zetu kwa zaidi ya asilimia 90. Sasa ni dhahiri tunaenda kukamata mihimili yote ya dola. Hivi 2025 wanasalimikaje kwa mfano.

Hii ndio CCM aliyotuachia baba wa Taifa hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kumbuka katibu Mkuu aliyemaliza muda wake Abdulrahman Kinana alisema CCM tuna mbinu zaidi ya 200. Mwaka 2015 tulikuja na mbinu ya BAO LA MKONO. Mwaka 2020 tumetumia mbinu ya Ujanifishaji (Tanzania ya Kijani). 2025 tutakuja na kubwa lao.

Nawasilisha.
Click to expand...
Ni mataahira (mental retards) pekee ndiyo wanaweza kushangilia eti CCM wameshinda uchaguzi huu wa 2020.
 
Hivi wewe ni ukoo wa lowassa kweli au umeambulia kufanana jina tu!.

Usijekuwa unawapigia debe wasio na habari na wewe, au labda ulikuwa housegirl kwenye nyumba yao?! na ma hg mnavyojua kujipendekeza, mara ushike remote kama upo kijijini kwenu.
Watoto wa Lowassa ni wasomi wote, huyu kwanza ni msukuma. Empty headed.
 
Walikua wanauliza wamachinga kwanini wanalipa elfu 20 ya kitambulisho?
😁😁😁😁😁😁😁
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Ni dhahiri sasa Tanzania ya Kijani imewezekana. Na hii ni kutokana na uwekezaji mkubwa uliofanyika ndani ya chama chetu. Viongozi wetu wametupeleka ng'ambo kusoma ili tuendeshe chama kisayansi na kuendesha kampeni kisasa na bila jasho.

Kwenye kampeni zetu wagombea wetu kuanzia ngazi ya Urais, Ubunge na udiwani walikuwa wanahubiri maendeleo, amani, utulivu na umoja wetu. Wamehubiri nini tumefanya ndani ya miaka 5 na nini tumeahidi kufanya katika miaka 5 ijayo. Mgombea wetu wa Urais Dr Magufuli ilipobidi alikuwa anatatua kero za papo kwa papo. Kwa kifupi tuliingia ndani ya nafsi za wananchi.

Kikubwa zaidi yule tuliyemjua ni mwenzetu tulihakikisha anapiga kura na tumefanikiwa katika hilo.

Hawa wenzetu sijui walikuwa wanahubiri nini kwenye kampeni zao licha ya kujisifu walikuwa wamejaza watu na wamefanya mikutano mingi kuliko CCM (HOJA YA UONGO). Mbaya zaidi wale waliowakimbilia kwenye kampeni wamekimbia kwenye kupiga kura. Hawakujitokeza mwisho wa siku CCM tumefanikiwa mbinu zetu kwa zaidi ya asilimia 90. Sasa ni dhahiri tunaenda kukamata mihimili yote ya dola. Hivi 2025 wanasalimikaje kwa mfano.

Hii ndio CCM aliyotuachia baba wa Taifa hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kumbuka katibu Mkuu aliyemaliza muda wake Abdulrahman Kinana alisema CCM tuna mbinu zaidi ya 200. Mwaka 2015 tulikuja na mbinu ya BAO LA MKONO. Mwaka 2020 tumetumia mbinu ya Ujanifishaji (Tanzania ya Kijani). 2025 tutakuja na kubwa lao.

Nawasilisha.
Tulikauka koo kwa kuwashauri, kuwapigia magoti, kuwasisitiza, jamani acheni kuwa WANAHARAKATI, jitahidini muwe WANASIASA, raia wawaelewe na kuwapenda ili wawapigie kura mpate KULA, wao vichwa ngumu, wabishi kama mishipa, wanajifanya watoto wa mjini, waking'ang'ania mitandaoni kama dada Mange, kama vile kura wapate kula zapigwa mitandaoni, angalia walivyogalagazwa! Kama bibi aliyekula vyetu tukaamuwa kuumla kibabe!
Mbururura kabisa hawa, wamekipata kichapo cha mbwa koko, mpaka waweze ku-recover sijuwi mwisho wa Dunia!
 
Back
Top Bottom