Uchaguzi 2020 Hivi CHADEMA walikuwa wanawaambia nini Wananchi wakati wa kampeni?

Uchaguzi 2020 Hivi CHADEMA walikuwa wanawaambia nini Wananchi wakati wa kampeni?

Utafariki wewe usiku wa leo kabla yake!
Nimeuliza kwa hiyo Magufuli atakapofariki ina maana makamu atamalizia kipindi chote? Wewe huna habari za ndani na wewe unajiita Magu2016? Unataka mpaka tumwage mtama kwenye kuku wengi?
 
Nimeuliza kwa hiyo Magufuli atakapofariki ina maana makamu atamalizia kipindi chote? Wewe huna habari za ndani na wewe unajiita Magu2016? Unataka mpaka tumwage mtama kwenye kuku wengi?
Hakuna uchaguzi Tanzania umefanyika kilichofanyika ni CCM kuulawiti na kuubaka uchaguzi
 
Hakuna uchaguzi Tanzania umefanyika kilichofanyika ni CCM kuulawiti na kuubaka uchaguzi
You can say agin and agian mkuu. Ni kweli kabisa. Lakini huu ni ujinga wa hali ya juu kwani madhara yake ni kwa nchi nzima na siyo wapinzani tu. Primitive way of thinking of our president is coasting us. Wakiwemo CCM.
 
You can say agin and agian mkuu. Ni kweli kabisa. Lakini huu ni ujinga wa hali ya juu kwani madhara yake ni kwa nchi nzima na siyo wapinzani tu. Primitive way of thinking of our president is coasting us. Wakiwemo CCM.
CCM itatawala pasipo ridhaa baraka za wapiga kura ni sawa na utawala wa mapinduzi ya kijeshi, Zanzibar sasa pamekuwa kama Iraq hakuna biashara hakuna utalii kisa CCM inang’ang’ania Ikulu kwenda kuendeleza vitendo haramu vya kishamba na kishetani
 
Nimesema Lissu babangu? Kweli magwanda mmepigwa na Magufuli hadi hamjitambui. Na bado
Kuna uchaguzi wapi? Maana Tanzania hakuna uchaguzi kuna vioja vya CCM kuulawiti kuubaka uchaguzi tu.
 
Hakuna uchaguzi umefanyika Tanzania sasa zaidi ya vioja na maigizo ya hovyo haramu ya kishetani yaliyofanywa na CCM ya mwenyekiti tokea Burundi na katibu mkuu tokea Rwanda, CCM wanajisifu kwa kubaka sanduku la kura bila Aibu
 
Duniani kote wanajua Tanzania kuna uchaguzi wa kishetani unaoigizwa na CCM lakini uchaguzi mkuu bado tarehe inabidi ipangwe upya upate kufanyika
 
Serikali iandae uchaguzi sasa maana huo haukuwa uchaguzi bali ilikuwa ni maigizo majaribio ya ushetani wa CCM tu, uchaguzi rasmi uandaliwe vizuri na kama CCM hawataki lazima viongozi wote wafikishwe ICC The Hague kujibu tuhuma zao ya matendo ya hovyo yanayoendelea Zanzibar mpaka sasa.
 
CCM Tambueni kuwa walikuwepo akina Bokasa chiluba Abacha Gadafi Sadam Hussein Elbashiri Iddy Amin dada mabutu na wenzao wenye Roho mbaya kama ya kaburu Mkoloni mweusi leo hii wapo wapi?
 
Uchaguzi rasmi uandaliwe huo wa jana siyo uchaguzi bali ni maigizo ya ushetani wa CCM
Hayaaa tutaandaa uchaguzi mwinginee eeeh ntoto nzuri eeeeh. Haya nyamazaaa ntoto nzuri eeeeeh. Ooooooh ooooh nyamaza eeeeeehhhhhhhh
 
Tulipokuwa tukisema, kabla ya 2021, Chadema itakuwa historia muwe mnaelewa!!

Sasa ipooo.... haipoo!!
 
Hivi wewe ni ukoo wa lowassa kweli au umeambulia kufanana jina tu!.

Usijekuwa unawapigia debe wasio na habari na wewe, au labda ulikuwa housegirl kwenye nyumba yao?! na ma hg mnavyojua kujipendekeza, mara ushike remote kama upo kijijini kwenu.
Mkuu Kuna watu Wana roho mbaya mpaka wanaboa
 
Back
Top Bottom