Hivi CHADEMA walitaka wajisifie kuwa na jengo zuri au Siasa na Demokrasia nzuri za kuikomboa Tanzania?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Halafu mkiambiwa mmepungukiwa madini ya akili Vichwani mwenu mnanuna na kukasirika.

CHADEMA iliyokuwa chini ya Dkt. Wilbroad Slaa ilikuwa ya uhakika, yenye Dira, Mikakati, Hamasa, Chachu ya Mabadiliko, tishio kweli kwa CCM na ilipendwa na hata sisi akina GENTAMIYCINE tusio na chama chochote huku hata kikipendwa pia kimoyomoyo na kimya kimya na wana CCM wengi.

Hilo jengo jipya mnalotamba nalo sasa hakikisheni linawasaidia ili muweze kuwa na akili ambazo kwa sasa sizioni na ninachokiona sasa ni upuuzi na mambo ya hovyo hovyo.
 
Hii Chadema ya Mbowe kama haiwatishi mbona mlimuweka Mbowe ndani miezi sita, na mkawaibia kura wagombea wao kwenye uchafuzi mkuu uliopita?
 
Hii Chadema ya Mbowe kama haiwatishi mbona mlimuweka Mbowe ndani miezi sita, na mkawaibia kura wagombea wao kwenye uchafuzi mkuu uliopita?
Hamna Akili.
 
Wakiwa ufipa na ofis imechoka walisemwa sana... Kama ofis imewashida je Nchi wataiweza? Now tayar mmebadili goli!!
 
Kwani wewe una akili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…