ninapenda sana kuona uongozi wa vijana ktk nchi hii,alipokatishwa Zitto uenyekiti ili baadae agombee urais niliona kweli wazee wa CHADEMA ni waoga kwa vijana na ndio maana kumekuwa na kambi zikipingana ktk Chaguzi za Mabaraza ya Chadema.sifurahishwi na ukandamizaji wa vijana,vijana mkiamua embu songa mbele usirudi nyuma hakuna wakati wa mtu hapa maana hatuna guarantee ya MAISHA!
mbona CCM yupo makamba na tambwe Hiza TUninapenda sana kuona uongozi wa vijana ktk nchi hii,alipokatishwa Zitto uenyekiti ili baadae agombee urais niliona kweli wazee wa CHADEMA ni waoga kwa vijana na ndio maana kumekuwa na kambi zikipingana ktk Chaguzi za Mabaraza ya Chadema.sifurahishwi na ukandamizaji wa vijana,vijana mkiamua embu songa mbele usirudi nyuma hakuna wakati wa mtu hapa maana hatuna guarantee ya MAISHA!
Sijakuelewa hapo kwenye red.
hebu nifafanulie au yeyote aliye elewa naomba ufafanuzi tafadhali.
ninapenda sana kuona uongozi wa vijana ktk nchi hii,alipokatishwa Zitto uenyekiti ili baadae agombee urais niliona kweli wazee wa CHADEMA ni waoga kwa vijana na ndio maana kumekuwa na kambi zikipingana ktk Chaguzi za Mabaraza ya Chadema.sifurahishwi na ukandamizaji wa vijana,vijana mkiamua embu songa mbele usirudi nyuma hakuna wakati wa mtu hapa maana hatuna guarantee ya MAISHA!
Malaria Sugu kabadili Jina???:confused2:
ninapenda sana kuona uongozi wa vijana ktk nchi hii,alipokatishwa Zitto uenyekiti ili baadae agombee urais niliona kweli wazee wa CHADEMA ni waoga kwa vijana na ndio maana kumekuwa na kambi zikipingana ktk Chaguzi za Mabaraza ya Chadema.sifurahishwi na ukandamizaji wa vijana,vijana mkiamua embu songa mbele usirudi nyuma hakuna wakati wa mtu hapa maana hatuna guarantee ya MAISHA!
Inawezekana kabadili -- maana hizi ndo zake -- huwa hana kabisa nyingine. Lakini swali lake pia linaweza kuelekezwa pia kwa Lipumba/Maalim, Mrema/Tao, Mtikila/Georgina, Chipaka, Cheyo, Mbatia....etc etc etc....
sio mambo ya upeo,kama una upeo ulipashwa kuelezea.nyie ndio mnaodandia trekta kwa mbele
Malaria Sugu= Masonjo=Njori= Faithful kwahiyo usishangae
ni wadau tu,siasa zinipitie mbali naziogopa kama ukoma!anzisheni vyama na nyie!
typical example of a GREAT SINKER!!!ninapenda sana kuona uongozi wa vijana ktk nchi hii,alipokatishwa Zitto uenyekiti ili baadae agombee urais niliona kweli wazee wa CHADEMA ni waoga kwa vijana na ndio maana kumekuwa na kambi zikipingana ktk Chaguzi za Mabaraza ya Chadema.sifurahishwi na ukandamizaji wa vijana,vijana mkiamua embu songa mbele usirudi nyuma hakuna wakati wa mtu hapa maana hatuna guarantee ya MAISHA!
Malaria Sugu= Masonjo=Njori= Faithful kwahiyo usishangae