Hivi Chama na wachezaji wenzako waandamizi wa Simba SC, hamjachukua hongo kweli ili mcheze chini ya kiwango?

Hivi Chama na wachezaji wenzako waandamizi wa Simba SC, hamjachukua hongo kweli ili mcheze chini ya kiwango?

Kiwango alichokionesha Chama, kiungo Punda pamoja na beki za pembeni za Simba zinanipelekea nihisi kuwa kuna umafia mkubwa sana umefanyika kuelekea katika hii mechi ya nusu fainali ya kombe la shirikisho la Azam.

Kuna kila dalili ya wachezaji tajwa kuonesha kuwa wamecheza chini ya viwango vyao kutokana na kupokea bakhshishi kutoka kwa matajiri wa lambalamba.
Kuna uwezekano mkubwa Sana wachezaji wa Simba hawapati mishahara Yao kwa wakati ndio maana wanachukua rushwa ili ku cushion ukali wa maisha.
 
Umewaza kama mimi. Yani ktk hali ya kawaida Chama kukosa goli yeye na golikipa ni ngumu kuamini. Labda leo wachezaj wote walilala Disco maana mmmmmm
Kuna kupanda na kushuka
 
Sisi wanachama wa Simba tuache jazba. Tukubali tusikubali kiwango Cha Simba kimeshuka na kinaendelea kushuka.
Tuige mbinu za Kaka zetu wakubwa Dar es Salaam Young Africans.
 
Ila shambuliaji lenye spidi nyumbu KISINDA bado upo kule berkane ànawakimbiza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kisinda yuko nusu final ya caf berkane kucheza TU Cafcc msimu ujao ni hati hati hapo nani kala shavu!?
 
Msihofu game na coastal wachezaji wamesema nguvu zote wamehamishia huko coastal asipofungwa 20 basi Chama kaomba afukuzwe
 
Kiwango alichokionesha Chama, kiungo Punda pamoja na beki za pembeni za Simba zinanipelekea nihisi kuwa kuna umafia mkubwa sana umefanyika kuelekea katika hii mechi ya nusu fainali ya kombe la shirikisho la Azam.

Kuna kila dalili ya wachezaji tajwa kuonesha kuwa wamecheza chini ya viwango vyao kutokana na kupokea bakhshishi kutoka kwa matajiri wa lambalamba.
Chama ni mzigo wa vima, sijawahi kumuelewa pamoja na kelele kibao za kumsifia! Kocha angeachwa asajili na kupanga team apendavyo naamini Chama asingetoboa.
CHAMA NI MZIGO.
 
Tusitafute visingizio, kocha wetu kamaliza kila kitu.
Msikilize video hio hapo chini.
JamiiForums-73059025.jpg
 
Simba waliuza Ile gemu kwa Azam.

Waliogopa kukutana na Yanga kwenye Fainali wangepoteza.

Walifanya makusudi.
 
Back
Top Bottom