Hivi chanzo cha huu mgao wa maji na umeme ni nini?

Hivi chanzo cha huu mgao wa maji na umeme ni nini?

Hivi kweli unawezaje kujitembeza bila aibu eti unafanya royal tour, halafu watalii wakija wanakuta nchi ina mgao wa maji na umeme?

Huu mgao ulianza lini? Mbona wananchi hatuna taarifa? Au ndio siasa yenyewe hii?
Ukame
 
Back
Top Bottom