Hivi Corona bado ipo?

Hivi Corona bado ipo?

Hakuna corona yoyote, wewe ndio corona yenyewe na unatakiwa KUONDOSHWA.

I wish i could be IGP, nyie VIRUS ningewachanja DAWA MAALUMU mnapukutika kiulaini.
China wenyewe waliandamana November 2022 kuwa Watu waachiwe toka kwenye lockdowns wakidai hakuna COVID 19 ila ni usanii tu wa Watumiaji fursa kibiashara [emoji851]

Ikiwa China ndipo ilianzia COVID 19 walishakataa, sisi ni nani haswa hadi tukaze mafuvu kuwa COVID 19 ipo?

LINK [emoji116]


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
China wenyewe waliandamana November 2022 kuwa Watu waachiwe toka kwenye lockdowns wakidai hakuna COVID 19 ila ni usanii tu wa Watumiaji fursa kibiashara [emoji851]

Ikiwa China ndipo ilianzia COVID 19 walishakataa, sisi ni nani haswa hadi tukaze mafuvu kuwa COVID 19 ipo?

LINK [emoji116]


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Corona ni uhuni unaotumika katika kuchuma faida kutoka kwa mazombi kama akina Allency yanayodungwa CHANJO ZA MAKALIO kwa hiyari (pleasure).
 
Kwani ilikwenda wapi ?; Ni kwamba tushakuwa Immune na sio issue tena wewe endelea kujali afya yako; Corona au kirusi chochote kitakachokuja kikukuta ngangali uta-survive mpaka pale mwili utakapotengeneza kinga....
 
Back
Top Bottom