Hivi Dar kuna nini kinachowamaliza wanaume?

Hivi Dar kuna nini kinachowamaliza wanaume?

Dar kuna nini lakini mbona wanaume wanaukimbia uanaume wao sana sana wakiwa Dar?

mbona nasikia kuna mzunguko mkubwa sana wa Hela, sasa inakuwaje tena wasihangaike kutafuta?

View attachment 2619765View attachment 2619766View attachment 2619767
B7EA8D6E-F96B-4AE9-93D6-1B24F161A863.jpeg

Dahhh
 
Dah! Tumeshampoteza ndugu yetu mwingine katika imaan. Ukijumlisha na Afande Rama! Kwa kweli hali ni mbaya.
Wewe utakua ulifanywa vibaya na mtu wa hiyo dini,maana sio kwa chuki hizo,utafikiri Malaya aliyekopwa!

Comment zako nyingi hapa jf ni ujinga ujinga tu,unaonekana umri umesonga ila upstairs ni empty.
 
Na Sasa hivi Kila Kona ni matangazo ya kijiunga na free Mansons Ili upate utajiri.

Haya mambo ukiyatazama kwa jicho la ndani yanahitaji maombi na toba ya Hali ya juu. Hawa tunaowaita wameharibika madhara yake yatagusa jamii yoote.
 
Back
Top Bottom