GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
This is a stupid and nonsense commentMwana Yanga SC Mwenge
Kama Designer Wetu aliishiwa Uzi si angesema tu tuliyonayo tumpe?
Mwana Yanga SC Ubungo
Huyu Designer Wetu na hivi ni Mchagga lazima tu atakuwa kabania Nyuzi na katumia Nyuzi kidogo ili zingine akauze na akajengee Kwao Moshi
Mwana Yanga SC Kawe
Huyu Designer Wetu kama alikuwa hataki Kutengeneza Jezi safari hii si angesema tu kuliko kututolea Upuuzi huu mpaka tunachekwa na Watani?
Mwana Yanga SC Temeke
Kwa Kituko alichotufanyia Designer Wetu nikiambiwa havuti Bangi nitakataa na kubisha hadi Kiama.
Jezi ziko poa sana tu.
Hata mm hiki kitu kimenishangaza shule baa makaburi misikiti stendi za mabasi vituo vya polisi vyote vimo angalia kwa makini lkn nimetafuta nimezoom kwa lens sijaona kanisakuna malalamiko kwa nini msikiti upo kwenye jezi lakini kanisa hakuna? azania halifai kuwekwa jamani
Hee Kumbe .... ! Haiwezekani Sisi Yanga Wakristo Lazima tuandamane...Iweje Msikiti uwepo Lkn Kanisa hakuna..?kuna malalamiko kwa nini msikiti upo kwenye jezi lakini kanisa hakuna? azania halifai kuwekwa jamani
Mwana Yanga SC Mwenge
Kama Designer Wetu aliishiwa Uzi si angesema tu tuliyonayo tumpe?
Mwana Yanga SC Ubungo
Huyu Designer Wetu na hivi ni Mchagga lazima tu atakuwa kabania Nyuzi na katumia Nyuzi kidogo ili zingine akauze na akajengee Kwao Moshi
Mwana Yanga SC Kawe
Huyu Designer Wetu kama alikuwa hataki Kutengeneza Jezi safari hii si angesema tu kuliko kututolea Upuuzi huu mpaka tunachekwa na Watani?
Mwana Yanga SC Temeke
Kwa Kituko alichotufanyia Designer Wetu nikiambiwa havuti Bangi nitakataa na kubisha hadi Kiama.
Ni yako? ingekua hata ingekua nzuri ungevaa?Jezi mbovu sana,angalau zile nyeusi ziko poa,sema dah!,Ngowi Mungu anakuona ujue!
Wewe sio mwanayanga umejuaje kuwa wamemmaindi ngowi?Mwana Yanga SC Mwenge
Kama Designer Wetu aliishiwa Uzi si angesema tu tuliyonayo tumpe?
Mwana Yanga SC Ubungo
Huyu Designer Wetu na hivi ni Mchagga lazima tu atakuwa kabania Nyuzi na katumia Nyuzi kidogo ili zingine akauze na akajengee Kwao Moshi
Mwana Yanga SC Kawe
Huyu Designer Wetu kama alikuwa hataki Kutengeneza Jezi safari hii si angesema tu kuliko kututolea Upuuzi huu mpaka tunachekwa na Watani?
Mwana Yanga SC Temeke
Kwa Kituko alichotufanyia Designer Wetu nikiambiwa havuti Bangi nitakataa na kubisha hadi Kiama.
Na ndicho Kimemuondosha Senzo Mbatha Mazingisa Yanga SC leo.Kwa jersey hii tumepigwa