Hivi Diamond Platumz hajui kingereza au alijitoa ufahamu tu?

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,239
Aliruhusu vipi Davido kumfanya poyoyo tena kwenye nyimbo yake mwenyewe. Inaonyesha pia wanao mzunguka Diamond ni hawajielewi.

Tanzania To Lagos,
I go make you famous.


Aibu sana kwa taifa. Au Diamond alimwambia nikifanya kolabo na wewe nitakuwa maarufu.

 

Hivi Michael Jackson alikuwa anajua kiswahili?

Amelitiaje aibu taifa?? Taifa lilimtuma akaongee kiingereza???

Tuache utumwa wa kutukuza lugha ya watu.

Si lazima kila mtu ajue kiingereza.
 
Hakumwambia lakini davido alijua kuwa jamaa sio maarufu ndio maana kaamua kumsaidia.
 
I go make you famous " hapa anamwambia demu huyo 'namba one' wao na si diamond
...
 
I go make you famous " hapa anamwambia demu huyo 'namba one' wao na si diamond
...

Nadhani nimekuelewa mkuu. Wote Diamond na Davido walikua wakimuongelea huyo demu aitwae' number one'
 
watanzania bwana sasa ww mtoa uzi kabla ujaandika uzi wako umejua maudhui ya wimbo?au unaropokatu..ngoha nikusaidie nyimbo inasena my number one that means kuna mtu anaimbwa kwenye iyo nyimbo..ukirudi kwenye verse ya davido also yale maneno anamwambia yule number one..sasa iyo concept kuelewa unaitaji kuwa form 6?..
 
all in all sio uyoo number 1 ndioo alioambiwa atafanywa awe famous ila davido amemuimbia mahkaj na kututaaarifu sisi audiences kwamba atamfanya awe famous na kweli amefanya hongera kwa davido kumtimizia mwana ahadi
 
Mbona hamna tusi hapo? Atapelekwa Lagos kwa remix ile akawe famous. Na kweli hii track ilipata airtime kwenye radio za Naija hususan Lagos sababu ya Davido. Kuna shida gani hapo? Diamond lini angesikika Lagos kwa ile original version? Safari za Germany alikuchukuliwa na promoter wa kinigeria, unahitaji nini zaidi hapo kujua aliuzwa na ile remix?
 
watanzania bwana sasa ww mtoa uzi kabla ujaandika uzi wako umejua maudhui ya wimbo?au unaropokatu..ngoha nikusaidie nyimbo inasena my number one that means kuna mtu anaimbwa kwenye iyo nyimbo..
siyo nyimbo, ni wimbo mkuu.
 
well said mkuu huyo mleta mada ndio hakijui kiingereza bora ungepiga kimya badala ya kumwaibisha mond umejiaibisha wewe. shame on u
 
DФmФИd ҜЩishД hДБДЯi УДҜΞ.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…