Hivi dishi la Joe Biden limeyumba?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Jana katika kusherehekea Halloween, akiwa White House, Rais Biden alionekana akivinusa vitoto vilivyokwenda kusherehekea.

Pia, alionekana akijaribu kuving’ata. Kuna wakati alionekana akiingiza mdomoni kamguu ka mtoto mchanga!

Huyu babu akili zake anazijua mwenyewe 🤣.

Tuanze na picha mgando.





Tumalizie na video.


View: https://youtu.be/fCs5eYO_R1Q?si=rB5GCldhgGZE2Aon
 
Kuweni makini asije akaondoka na GUU LA MTOTO.

Ukianza kuzeeka unageuka kuwa KIGAGULA unaanza kutamani minofu ya binadamu.

Ndio zile stori za shinyanga unasikia BIBI KIZEE kanyukwa mapanga kwa tuhuma za uchawi.

Wanakulaga nyama za watu wale. Hasa Albino.

Natoa rai kwa diaspora...Lindeni miguu ya watoto wenyu.

Cc: Lloyd Munroe Mbaga Jr Poor Brain Kapeace Lamomy
 
Trump akifika umri wa Joe atafanya vituko zaidi.
 
Daah hi imenistua sana aiseee
Haya mambo seriously aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…