Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo aingize kamguu ka mtoto mdomoni mwake?Sasa Halloween ulitaka afanyeje mkuu.
Kuingiza mguu wa mtoto mdomoni mwako ni kawaida?Kawaida anacheza na watoto!
Mimi watoto wangu ni wadogo kuwan'gata n'gata kwa utani ni jambo nililozoea! Mara shavuni mara mkono! Yeye kachagua mguu!Kuingiza mguu wa mtoto mdomoni mwako ni kawaida?
Unaweza kufanya hivyo kwa watoto ambao siyo wa kwako?Mimi watoto wangu ni wadogo kuwan'gata n'gata kwa utani ni jambo nililozoea! Mara shavuni mara mkono! Yeye kachagua mguu!
Hilo swali zito kweli sikufikiria! Hebu tusubiri tarehe tano tujue mbivu na mbichi!Unaweza kufanya hivyo kwa watoto ambao siyo wa kwako?
Kulamba na kung’ata miguu ya watoto siyo jambo la kawaida.Hilo swali zito kweli sikufikiria! Hebu tusubiri tarehe tano tujue mbivu na mbichi!
Babu hajielewi! Ngoja chama kipigwe chini asubuhiKulamba na kung’ata miguu ya watoto siyo jambo la kawaida.
Hapana ni kawaida broKulamba na kung’ata miguu ya watoto siyo jambo la kawaida.
🤣.Basi ukiniona Mimi utasema mwalimu Kachanganyikiwa....hakuna kitu kizuri kama harufu ya mwili ya mtoto mchanga...ni nzuri mnoo😘
Tena kawaida sanaHapana ni kawaida bro
Mama wa mtoto akiwa karibu yangu lazima niombe nimpakate mwanae,ili kupata tu kile kiharufu....ukiwa jirani yangu utamnyonyesha mtoto muda wa kutulia atulie kwangu,🤣.
Kwa hiyo kila mtoto unayekutana naye huwa unamnusa?
Kulamba miguu ya watoto wa watu ni jambo la lawaida?Hapa ndiyo utajua Kuna watu hata watoto wao hawajawahi kucheza nao. Hakuna Cha ajabu chochote hapo. Siyo uzee Wala nini ni fikira za hovyo tu.
Okay, sawa. Hilo ni jambo la kawaida sana.Mama wa mtoto akiwa karibu yangu lazima niombe nimpakate mwanae,ili kupata tu kile kiharufu....ukiwa jirani yangu utamnyonyesha mtoto muda wa kutulia atulie kwangu,
Japo Kuna wengine hunikatalia😔 hawataki watoto wao kushikwa na mtu mwingine ☹️
Ana have fun kwa kuingiza mguu wa mtoto mdomoni mwake?Mimi naona ni kama ana have fun, si unajua mambo ya Halloween.