Hivi dishi la Joe Biden limeyumba?

Hivi dishi la Joe Biden limeyumba?

Ni hatari kwa taifa kubwa kama hilo kuongozwa na rais mwenye tatizo la akili.
Anaweza kuamrisha mambo ya hatari kwa mataifa mengine😂
 
🤣.

Kwa hiyo kila mtoto unayekutana naye huwa unamnusa?
Mama wa mtoto akiwa karibu yangu lazima niombe nimpakate mwanae,ili kupata tu kile kiharufu....ukiwa jirani yangu utamnyonyesha mtoto muda wa kutulia atulie kwangu,
Japo Kuna wengine hunikatalia😔 hawataki watoto wao kushikwa na mtu mwingine ☹️
 
Huyu mzee na mwenzake Obama na u$enge wao ndiyo wameifikisha dunia hapa ilipo kwenye ishu ya mahusiano.

Haiwezekani mwanaume timamu asimame hadharani kwenye kadamnasi aulize kwanini nchi fulani hairuhusu wanaume wawili kuoana wenyewe kwa wenyewe!ujinga sana huu.
 
Mama wa mtoto akiwa karibu yangu lazima niombe nimpakate mwanae,ili kupata tu kile kiharufu....ukiwa jirani yangu utamnyonyesha mtoto muda wa kutulia atulie kwangu,
Japo Kuna wengine hunikatalia😔 hawataki watoto wao kushikwa na mtu mwingine ☹️
Okay, sawa. Hilo ni jambo la kawaida sana.

Ila, kuingiza mdomoni mwako mguu wa mtoto wa watu si sawa hata kidogo.

Na kusogeza pua yako karibu na mwili wa mtoto na kuanza kumnusa kama vile ambavyo mbwa huwa wananusa watu, nayo si sawa.

Biden anang’ata, analamba, na kunusa vitoto vya watu.

That’s not normal. It’s creepy and weird.
 
Back
Top Bottom