Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulamba mguu wa mtoto ambaye si wako ni kawaida?Mbona hayo mambo ya kawaida sana, isitoshe hiyo ni Halloween, mambo kama hayo ni kawaida being scary and weired.
Angeng'ata kweli ningekubaliana na hoja yako.
Kulamba mguu wa mtoto ambaye si wako ni kawaida?
Duh!Kawaida sana, ukiachana na urais ni babu kama babu wengine tu.
Babu yako aliwahi kukulamba mguu wako?Ukiwa Rais au mtu maarufu unakuwa katika assessment ya macho ya watu wengi jambo lolote ukilifanya kila mtu anaweza kuku assess kulingana na akili yake inavyoona zaidi kutokana Mila na desturi za mtu alipokulia lakini Mimi kama Mimi sioni neno baya Kwa Rais ambaye ni kama babu na wajukuu zake .
Labda alivyokuwa mtoto alikuwa anang'ata watoto wenzake.Ukizeeka akili zinarudi utoto
Huenda ikawa hivoLabda alivyokuwa mtoto alikuwa anang'ata watoto wenzake.
We unajua kulamba? Pale amelamba? Rudia hiyo picha vizuri.Kulamba miguu ya watoto wa watu ni jambo la lawaida?
Hivi nyie watu ni wa wapi!!?
Kuingiza mguu wa mtoto mdomoni mwake unaona ni sawa kabisa?We unajua kulamba? Pale amelamba? Rudia hiyo picha vizuri.
Jana katika kusherehekea Halloween, akiwa White House, Rais Biden alionekana akivinusa vitoto vilivyokwenda kusherehekea.
Pia, alionekana akijaribu kuving’ata. Kuna wakati alionekana akiingiza mdomoni kamguu ka mtoto mchanga!
Huyu babu akili zake anazijua mwenyewe 🤣.
Tuanze na picha mgando.
View attachment 3139847
View attachment 3139848
Tumalizie na video.
View: https://youtu.be/fCs5eYO_R1Q?si=rB5GCldhgGZE2Aon
Jana katika kusherehekea Halloween, akiwa White House, Rais Biden alionekana akivinusa vitoto vilivyokwenda kusherehekea.
Pia, alionekana akijaribu kuving’ata. Kuna wakati alionekana akiingiza mdomoni kamguu ka mtoto mchanga!
Huyu babu akili zake anazijua mwenyewe 🤣.
Tuanze na picha mgando.
View attachment 3139847
View attachment 3139848
Tumalizie na video.
View: https://youtu.be/fCs5eYO_R1Q?si=rB5GCldhgGZE2Aon
Laana ya nini?Lana inamzunguka
Kucheza na watoto hakuna ubaya.Biden vituko anavo ila hivi mmemsingizia ..kwanza yuko kwenye sherehe alafu hivo ni kucheza na watoto kila mtu anafanya hivo