Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,729
- 2,851
Kichapo mtapata tu, tuone sasa nani hatumii akiriUnadhani kila mtu ni sawa na nyinyi uvccm? View attachment 1570888
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichapo mtapata tu, tuone sasa nani hatumii akiriUnadhani kila mtu ni sawa na nyinyi uvccm? View attachment 1570888
Wewe ndiyo hutumii akiliKichapo mtapata tu, tuone sasa nani hatumii akiri
Kwani mwanza,dar,ntwara,lindi hakuna samaki?Nimemuoa Leo akijikongoja na kuanza kuwasifia wahaya eti wanakula samaki ndo maana Wana akili[emoji23]. Nadhani kuna baadhi ya makabila huyaogopa Tz na yanamtisha.
Kule kusini kaua zao lao mama linalo wafanya waishi na sasa huu ni mwaka wa 4 watu wanalia na kusaga meno.Ni sawa ni mikoa ya Nyanda za juu Kusini, hakuna cha maana kilichofanyika wakati wake zaidi ya kuua biashara ya mbao na mahindi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wahaya ccm ilisha kufa kitambo hasa pale bukoba mjiniKwani mwanza,dar,ntwara,lindi hakuna samaki?
Anajua ukimsifia mhaya ndio furaha yake
Mhaya wa leo siyo yule wa wakati wa vita dhidi ya Iddi Amini, watu wameshajielewaYap ukisifiwa Kwa nini Husifurahi?
Wew ukisifiwa na bosi wako hapo hospital hutafurahi?
We huon anataka kuwalaghai wahaya Kwa kuwasifia?
Hiv serikali na hao wahaya wako ni Nani mwenye nguvu na mamlaka?
Hiv serikali ilitaka kujenga stendi au soko inashindwaje kupata eneo na kujenga?....
Nyie chagueni tu tena wapinzani ,mtabaki na mji wenu hivyo ulivyo domantKwa wahaya ccm ilisha kufa kitambo hasa pale bukoba mjini
We ulitakaje Kwa mfano.Fuatilia maeneo ya mirad mikubwa yote ilikofanyika lazima mfikishane mahakamani kwanza utafikiri maendeleo sio ya kwao.
Kabila la ajabu Sana hili,mbaya zaidi mikoani mnashindwa Ku-exercise upuuzi wenu inawaladhimu mrudi nyumbani mkwamishane ninyi kwa ninyi.
Wahaya wengi katika utumishi wa umma huomba kurudi kwao kufanyia kazi mwisho wa siku hjikta halmashauri au taasisi nzima ni wao tu fully kuzozana
Utaulinganisha na kwa Ndugaye ambao upo ccm tangu uhuru?Nyie chagueni tu tena wapinzani ,mtabaki na mji wenu hivyo ulivyo domant
Gharama zilizotumika kufanya ukarabati baada ya tetemeko hazilingani kabisa na kiasi Cha jumla ya pesa zilizochangiwa wahanga bado zingetosha kila Mhanga kupata nyumba ya kisasa kabisa,hivo Ni jukumu la Wana kagera kudai chenji.Mbona hilo swali lipo wazi mkuu? Wewe unadhani atasema nini amewafanyia wana Kagera?
Daaa aisee inatia simanzi aiseeGharama zilizotumika kufanya ukarabati baada ya tetemeko hazilingani kabisa na kiasi Cha jumla ya pesa zilizochangiwa wahanga bado zingetosha kila Mhanga kupata nyumba ya kisasa kabisa,hivo Ni jukumu la Wana kagera kudai chenji.