Uchaguzi 2020 Hivi Dkt. Magufuli atasema amefanya nini Bukoba kwa miaka mitano yote siku ya kesho?

Uchaguzi 2020 Hivi Dkt. Magufuli atasema amefanya nini Bukoba kwa miaka mitano yote siku ya kesho?

Fuatilia maeneo ya mirad mikubwa yote ilikofanyika lazima mfikishane mahakamani kwanza utafikiri maendeleo sio ya kwao.
Kabila la ajabu Sana hili,mbaya zaidi mikoani mnashindwa Ku-exercise upuuzi wenu inawaladhimu mrudi nyumbani mkwamishane ninyi kwa ninyi.
Wahaya wengi katika utumishi wa umma huomba kurudi kwao kufanyia kazi mwisho wa siku hjikta halmashauri au taasisi nzima ni wao tu fully kuzozana
Sema mmh! Mkuu hili umeandika ukweli. Kule kwetu kwanza migogoro ya ardhi usiseme. Na hili ni kweli kabisaaaa. Kuna kukwamishana wenyewe sana na mizozano ya kipumbavu sana. Aisee hujadanganya kabisa.
 
Back
Top Bottom