Hivi Dkt. Slaa ni umri ndio umemtupa mkono au siasa ndiyo imeaanza kumkataa rasmi?

Hivi Dkt. Slaa ni umri ndio umemtupa mkono au siasa ndiyo imeaanza kumkataa rasmi?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Anatia huruma sana,

Kadiri anavyojitahidi kujipambanua, kujieleza na kujenga hoja juu ya mambo mbalimbali nchini, anazidi kutia huruma zaidi. Reception yake ni passive mno kwa wanachadema.
Huenda hawamuamini kabisa.

Facial expressions, tone na body language yake katika ujumla wake vinaonyesha wazi ni mtu dhaifu na mchovu, anaepitia mazingira Fulani magumu kimaisha, na amekata tamaa licha ya kua anajikakamua sana mbele ya halaiki na kujionyesha kwamba hana stress kabisa, ingawa anaonekana wazi kua na changamoto.

Ni muhimu sana huyu mzee akasaidiwa na kusitiriwa kwa namna ya kipekee sana kabla ya kuumbuka na kuadhirika vibaya baadae. Hekima na busara tayari hana tena.

Kupumzika active politics itamsaidia zaidi kuzeeka kwa heshima.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Anatia huruma sana,

Kadiri anavyojitahidi kujipambanua, kujieleza na kujenga hoja juu ya mambo mbalimbali nchini, anazidi kutia huruma zaidi. Reception yake ni passive mno kwa wanachadema.
Huenda hawamuamini kabisa.

Facial expressions, tone na body language yake katika ujumla wake vinaonyesha wazi ni mtu dhaifu na mchovu, anaepitia mazingira Fulani magumu kimaisha, na amekata tamaa licha ya kua anajikakamua sana mbele ya halaiki na kujionyesha kwamba hana stress kabisa, ingawa anaonekana wazi kua na changamoto.

Ni muhimu sana huyu mzee akasaidiwa na kusitiriwa kwa namna ya kipekee sana kabla ya kuumbuka na kuadhirika vibaya baadae. Hekima na busara tayari hana tena.

Kupumzika active politics itamsaidia zaidi kuzeeka kwa heshima.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
No reforms no election, slaa ni mwiba kwa kijani kibichi.
 
Kati ya muunganiko ccm unawawaumiza kichwa ni huu wa lisu + slaa, kama zito ataacha unafiki alipaswa arudi chadema,
Lisu+Heche+mnyika+lema+slaa= kifo kwa ccm chini ya hangaya
 
Mtu yeyote asiye na msimamo huwa na hatima kama ya Slaa 1.Alihasi Kanisa, nadhani alitafuna wana/mwanakondoo 2. Akaingia uraiani, akaukwaa ubunge ccm kwa mihula miwili, muhula wa tatu akaangukia pua kura za maoni 3. Akahasi ccm akaingia cdm, akajenga mizizi mizito ndani ya cdm akaipeleka mpera mpera ccm, yakatokea yaliyotokea cdm akabinywa alivyobinywa 4. Akaibukia ccm, akaukwaa ubalozi wakati wa jpm






, M17 ikaja na mizungu ya buluu dhidi ya Slaa, Nyani akatemeshwa bungo, iddle brain is the workshop of the sattan 5. Akachoropoka tena ccm, akasistiza yeye siasa za majukwaani hayumo tena (yaani yeye atakunywa tu mchuzi wa supu tu, nyama atawaachia wengine). Likaja beramu la DP World, tukashuhudia akiihasi/akikhalifu nadhiri yake akayakwea majukwaa kwa fujo zote











hi
 
Kati ya muunganiko ccm unawawaumiza kichwa ni huu wa lisu + slaa, kama zito ataacha unafiki alipaswa arudi chadema,
Lisu+Heche+mnyika+lema+slaa= kifo kwa ccm chini ya hangaya
kwamba matapeli na vibaka wa kisiasa waibabaishe CCM gentleman?🤣

thubutu 🐒
 
Mtu yeyote asiye na msimamo huwa na hatima kama ya Slaa 1.Alihasi Kanisa, nadhani alitafuna wana/mwanakondoo 2. Akaingia uraiani, akaukwaa ubunge ccm kwa mihula miwili, muhula wa tatu akaangukia pua kura za maoni 3. Akahasi ccm akaingia cdm, akajenga mizizi mizito ndani ya cdm akaipeleka mpera mpera ccm, yakatokea yaliyotokea cdm akabinywa alivyobinywa 4. Akaibukia ccm, akaukwaa ubalozi wakati wa jpm






, M17 ikaja na mizungu ya buluu dhidi ya Slaa, Nyani akatemeshwa bungo, iddle brain is the workshop of the sattan 5. Akachoropoka tena ccm, akasistiza yeye siasa za majukwaani hayumo tena (yaani yeye atakunywa tu mchuzi wa supu tu, nyama atawaachia wengine). Likaja beramu la DP World, tukashuhudia akiihasi/akikhalifu nadhiri yake akayakwea majukwaa kwa fujo zote











hi
Laana ya tamaa, usaliti, ubinafsi na uporaji wake za watu vinamuumbua kweli kweli,

familia karibu inamshinda hivi sasa 🐒
 
Anayeongea haya 👆ni Chawa wa Wassira 😁😁😆

Slaa anaweza push up hata kumi huyo Wassira hata moja hawezi atameza ulimi.
hapo kwenye ulimi naona unamsema Mzee slaa kiana gentleman dah 🤣

nadhani unamuona mzee slaa akiongea utadhani ulimi unachomoka, sembuse apige pushups?🐒
 
Slaa vs. Wassira....

Ungekuwa siyo chawa mwandamizi gentleman ungeniambia objectively ni nani kati ya hawa siasa zimeanza kumkataa rasmi!
 
Anatia huruma sana,

Kadiri anavyojitahidi kujipambanua, kujieleza na kujenga hoja juu ya mambo mbalimbali nchini, anazidi kutia huruma zaidi. Reception yake ni passive mno kwa wanachadema.
Huenda hawamuamini kabisa.

Facial expressions, tone na body language yake katika ujumla wake vinaonyesha wazi ni mtu dhaifu na mchovu, anaepitia mazingira Fulani magumu kimaisha, na amekata tamaa licha ya kua anajikakamua sana mbele ya halaiki na kujionyesha kwamba hana stress kabisa, ingawa anaonekana wazi kua na changamoto.

Ni muhimu sana huyu mzee akasaidiwa na kusitiriwa kwa namna ya kipekee sana kabla ya kuumbuka na kuadhirika vibaya baadae. Hekima na busara tayari hana tena.

Kupumzika active politics itamsaidia zaidi kuzeeka kwa heshima.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Badala ya kumshangaa Wasira unamshangaa Slaa, kweli nyani haoni naniliiu yake 😩
 
Mtu yeyote asiye na msimamo huwa na hatima kama ya Slaa 1.Alihasi Kanisa, nadhani alitafuna wana/mwanakondoo 2. Akaingia uraiani, akaukwaa ubunge ccm kwa mihula miwili, muhula wa tatu akaangukia pua kura za maoni 3. Akahasi ccm akaingia cdm, akajenga mizizi mizito ndani ya cdm akaipeleka mpera mpera ccm, yakatokea yaliyotokea cdm akabinywa alivyobinywa 4. Akaibukia ccm, akaukwaa ubalozi wakati wa jpm






, M17 ikaja na mizungu ya buluu dhidi ya Slaa, Nyani akatemeshwa bungo, iddle brain is the workshop of the sattan 5. Akachoropoka tena ccm, akasistiza yeye siasa za majukwaani hayumo tena (yaani yeye atakunywa tu mchuzi wa supu tu, nyama atawaachia wengine). Likaja beramu la DP World, tukashuhudia akiihasi/akikhalifu nadhiri yake akayakwea majukwaa kwa fujo zote











hi
Slaa alikuwa chawa wa Mwendakuzimu, very pretentious and a professional hypocrite. Mtu pekee anayeelewa akili za Slaa ni bibi Mushumbusi.
Slaa ni pandikizi la mbogamboga, atakuja kuzigeuka harakati katikati ya mapambano to destabilize the opposition.
 
Back
Top Bottom