Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Mbowe keshasusa hiyo saccos sasa wamekuwa ombaomba. Eti tone tone.aonewe huruma basi jamani dah,anatia huruma sana 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe keshasusa hiyo saccos sasa wamekuwa ombaomba. Eti tone tone.aonewe huruma basi jamani dah,anatia huruma sana 🐒
Hakuna swala la until ,viongozi wengi waafrica ni kâm wakoloni weusi vile,wakiachwa free,hằwafanyi lolote,ni wachache Sana wanaojielewa,muache dk slaa afanye ambalo mungu huenda ndo kamtumaAnatia huruma sana,
Kadiri anavyojitahidi kujipambanua, kujieleza na kujenga hoja juu ya mambo mbalimbali nchini, anazidi kutia huruma zaidi. Reception yake ni passive mno kwa wanachadema.
Huenda hawamuamini kabisa.
Facial expressions, tone na body language yake katika ujumla wake vinaonyesha wazi ni mtu dhaifu na mchovu, anaepitia mazingira Fulani magumu kimaisha, na amekata tamaa licha ya kua anajikakamua sana mbele ya halaiki na kujionyesha kwamba hana stress kabisa, ingawa anaonekana wazi kua na changamoto.
Ni muhimu sana huyu mzee akasaidiwa na kusitiriwa kwa namna ya kipekee sana kabla ya kuumbuka na kuadhirika vibaya baadae. Hekima na busara tayari hana tena.
Kupumzika active politics itamsaidia zaidi kuzeeka kwa heshima.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Huko alikowahasi aliwaacha mkiwa maksai? 😀 😀Mtu yeyote asiye na msimamo huwa na hatima kama ya Slaa 1.Alihasi Kanisa, nadhani alitafuna wana/mwanakondoo 2. Akaingia uraiani, akaukwaa ubunge ccm kwa mihula miwili, muhula wa tatu akaangukia pua kura za maoni 3. Akahasi ccm akaingia cdm, akajenga mizizi mizito ndani ya cdm akaipeleka mpera mpera ccm, yakatokea yaliyotokea cdm akabinywa alivyobinywa 4. Akaibukia ccm, akaukwaa ubalozi wakati wa jpm
Gentleman man Dr silasa, ameeza nywele, lakin kichwani anamadini sana, hauwezi kumfananisha na mzee yoyote kule ccm,ukimwondoa warioba. Tena mzee huyu anaogwa sana na samia na ccm kwa ujumla.Anatia huruma sana,
Kadiri anavyojitahidi kujipambanua, kujieleza na kujenga hoja juu ya mambo mbalimbali nchini, anazidi kutia huruma zaidi. Reception yake ni passive mno kwa wanachadema.
Huenda hawamuamini kabisa.
Facial expressions, tone na body language yake katika ujumla wake vinaonyesha wazi ni mtu dhaifu na mchovu, anaepitia mazingira Fulani magumu kimaisha, na amekata tamaa licha ya kua anajikakamua sana mbele ya halaiki na kujionyesha kwamba hana stress kabisa, ingawa anaonekana wazi kua na changamoto.
Ni muhimu sana huyu mzee akasaidiwa na kusitiriwa kwa namna ya kipekee sana kabla ya kuumbuka na kuadhirika vibaya baadae. Hekima na busara tayari hana tena.
Kupumzika active politics itamsaidia zaidi kuzeeka kwa heshima.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
anatia huruma vile nani atamuogopa gentleman 🐒Gentleman man Dr silasa, ameeza nywele, lakin kichwani anamadini sana, hauwezi kumfananisha na mzee yoyote kule ccm,ukimwondoa warioba. Tena mzee huyu anaogwa sana na samia na ccm kwa ujumla.
Hivi kwa akili zako finyu hizo, mtu anayeshuka madini kama haya unaweza kuleta hoja ya kijinga ya uzee au kuishiwa kisiasa...?Anatia huruma sana,
Kadiri anavyojitahidi kujipambanua, kujieleza na kujenga hoja juu ya mambo mbalimbali nchini, anazidi kutia huruma zaidi. Reception yake ni passive mno kwa wanachadema.
Huenda hawamuamini kabisa.
Facial expressions, tone na body language yake katika ujumla wake vinaonyesha wazi ni mtu dhaifu na mchovu, anaepitia mazingira Fulani magumu kimaisha, na amekata tamaa licha ya kua anajikakamua sana mbele ya halaiki na kujionyesha kwamba hana stress kabisa, ingawa anaonekana wazi kua na changamoto.
Ni muhimu sana huyu mzee akasaidiwa na kusitiriwa kwa namna ya kipekee sana kabla ya kuumbuka na kuadhirika vibaya baadae. Hekima na busara tayari hana tena.
Kupumzika active politics itamsaidia zaidi kuzeeka kwa heshima.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
VyoteAnatia huruma sana,
Kadiri anavyojitahidi kujipambanua, kujieleza na kujenga hoja juu ya mambo mbalimbali nchini, anazidi kutia huruma zaidi. Reception yake ni passive mno kwa wanachadema.
Huenda hawamuamini kabisa.
Facial expressions, tone na body language yake katika ujumla wake vinaonyesha wazi ni mtu dhaifu na mchovu, anaepitia mazingira Fulani magumu kimaisha, na amekata tamaa licha ya kua anajikakamua sana mbele ya halaiki na kujionyesha kwamba hana stress kabisa, ingawa anaonekana wazi kua na changamoto.
Ni muhimu sana huyu mzee akasaidiwa na kusitiriwa kwa namna ya kipekee sana kabla ya kuumbuka na kuadhirika vibaya baadae. Hekima na busara tayari hana tena.
Kupumzika active politics itamsaidia zaidi kuzeeka kwa heshima.🐒
Mungu Ibariki Tanzania