Hivi EATV wamekosa kabisa wa kufanya nao vipindi hadi kufanya na huyu mkaa uchi????

Sasa kwani hapo kwenye kipindi EATV alikuwa amevaa hivyo vinguo au tatizo lako ni kuwa napokuwa kwenye mambo yake ndo huvaa anavotaka? Mie nilidhani amekaa uchi studio. Tukimfatilia kila mtu ktk mambo yake binafsi siamini kama kuna mtu atabaki salama
 
Sasa kwani hapo kwenye kipindi EATV alikuwa amevaa hivyo vinguo au tatizo lako ni kuwa napokuwa kwenye mambo yake ndo huvaa anavotaka? Mie nilidhani amekaa uchi studio. Tukimfatilia kila mtu ktk mambo yake binafsi siamini kama kuna mtu atabaki salama
Hata mimi nilidhani amekaae uchi studio, mambo ambayo kila mtu anafanya sirini au akiwa peke yake hakuna anayeweza kuyavumilia bali ni Mungu pekee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijafahamu ni kwa nini mleta mada ametuletea picha ya swimming pool... labda alitakiwa avae suti kwenye swimming pool
 
Sijafahamu ni kwa nini mleta mada ametuletea picha ya swimming pool... labda alitakiwa avae suti kwenye swimming pool
Kabla hujareplay jitahidi kusoma post vizuri na kuelewa.

-Ndumilakuwili-
 
Hiki kipindi kinapendwa sana na vijana sijajua ni kwanini kinashindwa kuwa na maudhui ya burudani vile vile kingekuwa kinatoa elimu kwa vijana hata namna ya kufikiria upande wa pili wa maisha maana haya maisha ya show off yanamwisho, wangekuwa wanaleta na watu waliofanikiwa nje ya tasnia ya muziki ili kumotivate hawa wanaojiita wasanii kuwekeza mawazo na pesa zao nje ya tasnia hy ili baadae wafurahie na familia zao. Haya maisha ya zazuu hayjawaji kumuacha mtu Salama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wanakuwa na akili za kipanya sana sasa huyo na madoa yake anaanika ngozi kama ya chui kisa KIKI.

Usinisahau kwenye Baraza Jipya.
 
Huyu si binti ni mwanamke....tena matiti na tumbo lake linaonyesha alishazaaa....ndo mana kachora tatuuu kwenye tumbo....angalia vizuri utagundua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…