Hivi elimu na shule za Tanzania zimekumbwa na nini?

Uneta habari za kina Bill gates bongo?

Peleka mtoto shule acha ujuaji
 
Maa
na ya kuwa private school ni nini hasa kama hawawezi kujitofautishia majukumu yao sawa na shule za jumuiya?
 
Shule za private zina upumbavu mwingi sana. Naomba niishie hapa.
Na ndiyo maana kuna government, peleka mtoto wako Yusuph Makamba,kule hakuna mambo ya ajabu yaliyopo private.
Wew unakuta toto haliandiki notes
Halimalizi maswali kwenye mtihani
Linasumbuq shule nzima
Halafulinafeli.
Unataka tuliue muanze kutukana walimu mtandaoni? Hamisha mzigo huo ili shule ipate wateja wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…