Hivi faida ya bidhaa fulani inatakiwa iwe asilimia ngapi ya mtaji?

Hivi faida ya bidhaa fulani inatakiwa iwe asilimia ngapi ya mtaji?

mathsjery

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
2,249
Reaction score
1,813
Baadhi ya vijana wenzangu huwa wananiacha hoi!

Mfano, umenunua bidhaa inayokupa faida ya asilimia 5 ya mtaji, ukiwaambia hiyo ndo faida aiseh, utapondwa balaa basi mimi nauliza je faida huwa ni asilimia ngapi ya mtaji?

Yaani ununue kitu buku, kisha uuze buku mbili au uuze buku miambili au buku kero e.t.c hatakama bidhaa haiendi kwa bei za aina hiyo.
 
Baadhi ya vijana wenzangu huwa wananiacha hoi!

mfano, umenunua bidhaa inayokupa faida ya asilimia 5 ya mtaji, ukiwaambia hiyo ndo faida aiseh, utapondwa balaa basi mimi nauliza je faida huwa ni asilimia ngapi ya mtaji ?


Yaani ununue kitu buku, kisha uuze buku mbili au uuze buku miambili au buku kero e.t.c hatakama bidhaa haiendi kwa bei za aina hiyo
Q. NET wanawauzia watu Saa ya 4,500/- kwa Milioni 5.

Hapo kwa mtaji wa 4,500/- faida ni 4,995,500/-.
 
Kunabidhaa zinauzwa at premium price izo enda hata 400% na zaidi
Bro hii 400% maana yake kama bidhaa ni ya buku ninauza kwa buku tano sio, maana asilimia mwisho ni mia kwa huo mtaji wa buku ninauza bidhaa kwa bei ya mara nne.

Au sijaelewa
 
Asilimia za biashara hazifanani inategemea na aina ya biashara unayouza.
Kwa mfano kama unauza materials ya ujenzi faida zake huwa zinacheza asilimia 50 hadi 100.
Lakini biashara ya duka la vyakula asilimia zake ni ndogo sana maximum asilimia 10.
So inategemea ni biashara gani unafanya
 
Asilimia za biashara hazifanani inategemea na aina ya biashara unayouza.
Kwa mfano kama unauza materials ya ujenzi faida zake huwa zinacheza asilimia 50 hadi 100.
Lakini biashara ya duka la vyakula asilimia zake ni ndogo sana maximum asilimia 10.
So inategemea ni biashara gani unafanya
Na hizo ndio biashara ambayo hata siku ikiwa mbaya hukosi hela ya bia😂! Imagine umeuza sink la 75k kwa 15Ok ni faida ya almost asilimia 1OO ya mtaji
 
Na hizo ndio biashara ambayo hata siku ikiwa mbaya hukosi hela ya bia[emoji23]! Imagine umeuza sink la 75k kwa 15Ok ni faida ya almost asilimia 1OO ya mtaji
Ndio hvyo mkuu.
Kwa mfano mtu mwenye hardware ya kuuza mbao faida yake huwa ni mara mbili yaani mbao aliyonunua elfu 7 anauza elfu 15.
Na uzuri wa hii biashara bidhaa hiyo hiyo moja duka la jirani wanauza 750k na wewe unauza 850k hakuna mtu kuhoji wala kukosoa watu wananunua tu.
Tofauti na biashara ya soda au vocha imeshaandikwa kabisa kwamba utanunua 950 na utauza 1000 huwezi kuzidisha.
 
Back
Top Bottom