Hivi Freeman Mbowe anajisikiaje kuwa Mwenyekiti wa kudumu wa chama chake?

Hivi Freeman Mbowe anajisikiaje kuwa Mwenyekiti wa kudumu wa chama chake?

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Je, ni sahihi kusema CHADEMA ina wenyewe ambao wanaimiliki na hawataki kuachia madaraka?

Utamu anaouona Mbowe akiwa tu mwenyekiti wa CHADEMA, angeupata urais si angetupilia mbali ukomo wa urais?

Huyu Mzee hapendi kabisa kuwapisha wengine wasogeze gurudumu mbele. Na hii siyo kwa sababu kuna agenda hajakamilisha ila ni maslahi yaliyopo hapo.

Kung’ang’ania kwake uenyekiti kunatoa tafsiri hasi kwa chama chenu cha CDM.

Ng’atuka basi mzee.
 
Chairman Umuyaya Hastings Kamuzu Mbowe

😛 😀

Ukiona hivyo ujue chama hakina future. Mtu = chama.
Kwa hiyo mtu akifa na chama kufa.
 
Anashangaza na kutia shaka, na kijishushia heshima aliyonayo na imani mioyoni kwa watu.
 
Ndie anaiki cost chama hata wakina Zitto,Slaa wote wameondoka kwa ajili ya Uchaga mavi wake mlafi wa madaraka
 
Je ni sahihi kusema CHADEMA ina wenyewe ambao wanaimiliki na hawataki kuachia madaraka?
Utamu anaouona Mbowe akiwa tu mwenyekiti wa CDM, angeupata urais si angetupilia mbali ukomo wa urais?

Huyu Mzee hapendi kabisa kuwapisha wengine wasogeze gurudumu mbele. Na hii siyo kwa sababu kuna agenda hajakamilisha ila ni maslahi yaliyopo hapo.

Kung’ang’ania kwake uenyekiti kunatoa tafsiri hasi kwa chama chenu cha CDM.

Ng’atuka basi mzee.
Mbona hujauliza kuhusu John Cheyo wa chama Cha UMD, ambaye amekuwa Mwenyekiti wa chama chake, tokea kianzishwe, mwaka 1992??😎

Umebaki kumwandama Mbowe tuuu..........

Tunajua hizi zote ni propaganda za CCM😗
 
Watu makini wote wameondoka kisa yeye. Amebaki na waganga njaa ambao wanamlamba miguu wapate asali. Huyu jamaa anaihujumu nchi.
 
Ila kila siku mnapiga kelele kwa kina M7,Kagame na wengineo kua hawatoki madarakani,huo Ni uenyekiti tu angekua Rais si angekua Kama hao wengine tu?
 
Ila kila siku mnapiga kelele kwa kina M7,Kagame na wengineo kua hawatoki madarakani,huo Ni uenyekiti tu angekua Rais si angekua Kama hao wengine tu?
Dictatorial regime kama hii lazima ake mtu makini kama Mbowe/ Lisu na wengine ambao Umma unathibitisha kuwa hawaongeki. Utakufa kwa simanzi maana Mbowe haodoki. Ikija katiba ambayo inamnyima Samia UMUNGU ataondoka
 
Mbona hujauliza kuhusu John Cheyo wa chama Cha UMD, ambaye amekuwa Mwenyekiti wa chama chake, tokea kianzishwe, mwaka 1992??😎

Umebaki kumwandama Mbowe tuuu..........

Tunajua hizi zote ni propaganda za CCM😗
Democracy ni pamoja na Uhuru wa kuhoji,kwa kua Ni Mbowe ndio watu wasihoji?
 
Je ni sahihi kusema CHADEMA ina wenyewe ambao wanaimiliki na hawataki kuachia madaraka?
Utamu anaouona Mbowe akiwa tu mwenyekiti wa CDM, angeupata urais si angetupilia mbali ukomo wa urais?

Huyu Mzee hapendi kabisa kuwapisha wengine wasogeze gurudumu mbele. Na hii siyo kwa sababu kuna agenda hajakamilisha ila ni maslahi yaliyopo hapo.

Kung’ang’ania kwake uenyekiti kunatoa tafsiri hasi kwa chama chenu cha CDM.

Ng’atuka basi mzee.
Wewe ndo tukuulize unajisikiaje kushindwa kudumu au kufanikiwa kwenye kazi zako?
 
Dictatorial regime kama hii lazima ake mtu makini kama Mbowe/ Lisu na wengine ambao Umma unathibitisha kuwa hawaongeki. Utakufa kwa simanzi maana Mbowe haodoki. Ikija katiba ambayo inamnyima Samia UMUNGU ataondoka
Kagame na Museveni wakisema hawatoki madarakani sababu nchi zao bado hazijawa stable Ni sawa au sio sawa?
 
Je, ni sahihi kusema CHADEMA ina wenyewe ambao wanaimiliki na hawataki kuachia madaraka?

Utamu anaouona Mbowe akiwa tu mwenyekiti wa CDM, angeupata urais si angetupilia mbali ukomo wa urais?

Huyu Mzee hapendi kabisa kuwapisha wengine wasogeze gurudumu mbele. Na hii siyo kwa sababu kuna agenda hajakamilisha ila ni maslahi yaliyopo hapo.

Kung’ang’ania kwake uenyekiti kunatoa tafsiri hasi kwa chama chenu cha CDM.

Ng’atuka basi mzee.
Mbowe na CHADEMA msifanye kosa kumwondoa Mbowe kwa sasa mpeni angalau mpaka 2030 baada ya uchaguzi. Adumu Mwenyekiti Mbowe na timu yake!
 
Democracy ni pamoja na Uhuru wa kuhoji,kwa kua Ni Mbowe ndio watu wasihoji?
Mi nilijua wewe ni shujaa wa kuhoji mambo nyeti yanayolitafuna taifa kumbe ni mwendo wa buku saba kwa andiko linalohusu M/kiti chadema. Kwa nini usihoji form moja kwanza.
 
Back
Top Bottom