Hivi Freeman Mbowe anajisikiaje kuwa Mwenyekiti wa kudumu wa chama chake?

Hivi Freeman Mbowe anajisikiaje kuwa Mwenyekiti wa kudumu wa chama chake?

Je, ni sahihi kusema CHADEMA ina wenyewe ambao wanaimiliki na hawataki kuachia madaraka?

Utamu anaouona Mbowe akiwa tu mwenyekiti wa CHADEMA, angeupata urais si angetupilia mbali ukomo wa urais?

Huyu Mzee hapendi kabisa kuwapisha wengine wasogeze gurudumu mbele. Na hii siyo kwa sababu kuna agenda hajakamilisha ila ni maslahi yaliyopo hapo.

Kung’ang’ania kwake uenyekiti kunatoa tafsiri hasi kwa chama chenu cha CDM.

Ng’atuka basi mzee.
Inakuhusu nini kupe mkubwa
 
Je, ni sahihi kusema CHADEMA ina wenyewe ambao wanaimiliki na hawataki kuachia madaraka?

Utamu anaouona Mbowe akiwa tu mwenyekiti wa CHADEMA, angeupata urais si angetupilia mbali ukomo wa urais?

Huyu Mzee hapendi kabisa kuwapisha wengine wasogeze gurudumu mbele. Na hii siyo kwa sababu kuna agenda hajakamilisha ila ni maslahi yaliyopo hapo.

Kung’ang’ania kwake uenyekiti kunatoa tafsiri hasi kwa chama chenu cha CDM.

Ng’atuka basi mzee.
Tangu lini Ayatollah au yule wa Vatican huwa wanastaafu wakisha chaguliwa?
 
Je, ni sahihi kusema CHADEMA ina wenyewe ambao wanaimiliki na hawataki kuachia madaraka?

Utamu anaouona Mbowe akiwa tu mwenyekiti wa CHADEMA, angeupata urais si angetupilia mbali ukomo wa urais?

Huyu Mzee hapendi kabisa kuwapisha wengine wasogeze gurudumu mbele. Na hii siyo kwa sababu kuna agenda hajakamilisha ila ni maslahi yaliyopo hapo.

Kung’ang’ania kwake uenyekiti kunatoa tafsiri hasi kwa chama chenu cha CDM.

Ng’atuka basi mzee.
haondoki mtu hapa machawa nyie
 
we unajisikiaje waziri wa serikali tena wizara nyeti ananunua timu za Mpira kila kukicha
 
Je, ni sahihi kusema CHADEMA ina wenyewe ambao wanaimiliki na hawataki kuachia madaraka?

Utamu anaouona Mbowe akiwa tu mwenyekiti wa CHADEMA, angeupata urais si angetupilia mbali ukomo wa urais?

Huyu Mzee hapendi kabisa kuwapisha wengine wasogeze gurudumu mbele. Na hii siyo kwa sababu kuna agenda hajakamilisha ila ni maslahi yaliyopo hapo.

Kung’ang’ania kwake uenyekiti kunatoa tafsiri hasi kwa chama chenu cha CDM.

Ng’atuka basi mzee.
Mta teseka sana. Mbowe is there to stay.
Hadi Ccm watoke madarakani. Ndipo Mbowe ata ondoka. Hata Mandela aliendelea kuwa madakani hadi ANC walipo chukua madaraka.
 
Mbona hujauliza kuhusu John Cheyo wa chama Cha UMD, ambaye amekuwa Mwenyekiti wa chama chake, tokea kianzishwe, mwaka 1992??😎

Umebaki kumwandama Mbowe tuuu..........

Tunajua hizi zote ni propaganda za CCM😗
Kwa hiyo mpaka Cdm kife Kama Cha John cheyo
Duh hongereni Kama ndo lengo
 
Je, ni sahihi kusema CHADEMA ina wenyewe ambao wanaimiliki na hawataki kuachia madaraka?

Utamu anaouona Mbowe akiwa tu mwenyekiti wa CHADEMA, angeupata urais si angetupilia mbali ukomo wa urais?

Huyu Mzee hapendi kabisa kuwapisha wengine wasogeze gurudumu mbele. Na hii siyo kwa sababu kuna agenda hajakamilisha ila ni maslahi yaliyopo hapo.

Kung’ang’ania kwake uenyekiti kunatoa tafsiri hasi kwa chama chenu cha CDM.

Ng’atuka basi mzee.
Hivi na Lipumba,Cheyo,,Mzee wa Upwapwa,na wasiojulikana nao wanajisikaje wajameni!
 
Watu makini wote wameondoka kisa yeye. Amebaki na waganga njaa ambao wanamlamba miguu wapate asali. Huyu jamaa anaihujumu nchi.

Yule jamaa akikamata Dora, mjiandae tu kumtoa kwa greda
 
Duniani hakuna mtu neutral in psychological point of view,acha kujidanganya jombaa

Mfano mimi siwafagilii sisiem. Ila sasa sina kwa kwenda. Nikiwaangalia wote, hakuna wa kumpa nchi.
 
Je, ni sahihi kusema CHADEMA ina wenyewe ambao wanaimiliki na hawataki kuachia madaraka?

Utamu anaouona Mbowe akiwa tu mwenyekiti wa CHADEMA, angeupata urais si angetupilia mbali ukomo wa urais?

Huyu Mzee hapendi kabisa kuwapisha wengine wasogeze gurudumu mbele. Na hii siyo kwa sababu kuna agenda hajakamilisha ila ni maslahi yaliyopo hapo.

Kung’ang’ania kwake uenyekiti kunatoa tafsiri hasi kwa chama chenu cha CDM.

Ng’atuka basi mzee.
Kwani unaumia sana? Chama ni chako?
 
Watu makini wote wameondoka kisa yeye. Amebaki na waganga njaa ambao wanamlamba miguu wapate asali. Huyu jamaa anaihujumu nchi.
Wafuate hao watu makini walioondoka.
Mfuate Msigwa.....ndo mtu makini kwako.
Otherwise go F yourself.
 
Je, ni sahihi kusema CHADEMA ina wenyewe ambao wanaimiliki na hawataki kuachia madaraka?

Utamu anaouona Mbowe akiwa tu mwenyekiti wa CHADEMA, angeupata urais si angetupilia mbali ukomo wa urais?

Huyu Mzee hapendi kabisa kuwapisha wengine wasogeze gurudumu mbele. Na hii siyo kwa sababu kuna agenda hajakamilisha ila ni maslahi yaliyopo hapo.

Kung’ang’ania kwake uenyekiti kunatoa tafsiri hasi kwa chama chenu cha CDM.

Ng’atuka basi mzee.
Jiulize kwanza kuhusu taasisi ile ya kijani miaka 60 +wanajisikia. In short wanasikia raha
 
Katiba ya CHADEMA inasemaje kuhusu muda wa Mwenyekiti kushika nafasi hiyo? Au kimesajiliwa kwa Brela?
 
Je, ni sahihi kusema CHADEMA ina wenyewe ambao wanaimiliki na hawataki kuachia madaraka?

Utamu anaouona Mbowe akiwa tu mwenyekiti wa CHADEMA, angeupata urais si angetupilia mbali ukomo wa urais?

Huyu Mzee hapendi kabisa kuwapisha wengine wasogeze gurudumu mbele. Na hii siyo kwa sababu kuna agenda hajakamilisha ila ni maslahi yaliyopo hapo.

Kung’ang’ania kwake uenyekiti kunatoa tafsiri hasi kwa chama chenu cha CDM.

Ng’atuka basi mzee.

Kwani Cheyo, Dovutwa, Lipumba na Hashim wanajisikiaje mkuu????
 
Mbowe ni kiongozi wetu dikteta na mjinga, akifa mkewake atakuwa mwenyekiti.
 
Back
Top Bottom