Duniani hakuna mtu neutral in psychological point of view,acha kujidanganya jombaaAkili zetu wengi wetu ndio hizi sasa.
Sii kila mtu ni mwanasiasa, kuna sie wengine ni watanzania tu hatuna cha ccm wala chadema, kazi kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duniani hakuna mtu neutral in psychological point of view,acha kujidanganya jombaaAkili zetu wengi wetu ndio hizi sasa.
Sii kila mtu ni mwanasiasa, kuna sie wengine ni watanzania tu hatuna cha ccm wala chadema, kazi kwako
Ngoja waje chama cha mambuzi especially sukuma ngang 😂,huwa wakisikia jina la mwamba wanahisi kujinyeaMbowe na CHADEMA msifanye kosa kumwondoa Mbowe kwa sasa mpeni angalau mpaka 2030 baada ya uchaguzi. Adumu Mwenyekiti Mbowe na timu yake!
Mbowe kwanini chama cha mambuzi kinamuhofia sana 😂Mbowe na CHADEMA msifanye kosa kumwondoa Mbowe kwa sasa mpeni angalau mpaka 2030 baada ya uchaguzi. Adumu Mwenyekiti Mbowe na timu yake!
Lazima muungane mkono nyote si wamoja 😂,chama cha mambuziNakuunga mkono mkuu.
Anajisikia heshima sanaJe, ni sahihi kusema CHADEMA ina wenyewe ambao wanaimiliki na hawataki kuachia madaraka?
Utamu anaouona Mbowe akiwa tu mwenyekiti wa CDM, angeupata urais si angetupilia mbali ukomo wa urais?
Huyu Mzee hapendi kabisa kuwapisha wengine wasogeze gurudumu mbele. Na hii siyo kwa sababu kuna agenda hajakamilisha ila ni maslahi yaliyopo hapo.
Kung’ang’ania kwake uenyekiti kunatoa tafsiri hasi kwa chama chenu cha CDM.
Ng’atuka basi mzee.
Ikiuma chomoa.Laz
Lazima muungane mkono nyote si wamoja 😂,chama cha mambuzi
Kwa hio tunakubaliana CCM na CHADEMA kote hakuna demokrasia sio?Mi nilijua wewe ni shujaa wa kuhoji mambo nyeti yanayolitafuna taifa kumbe ni mwendo wa buku saba kwa andiko linalohusu M/kiti chadema. Kwa nini usihoji form moja kwanza.
waMbona hujauliza kuhusu John Cheyo wa chama Cha UMD, ambaye amekuwa Mwenyekiti wa chama chake, tokea kianzishwe, mwaka 1992??😎
Umebaki kumwandama Mbowe tuuu..........
Tunajua hizi zote ni propaganda za CCM😗
Umeshinda, enjoy....Duniani hakuna mtu neutral in psychological point of view,acha kujidanganya jombaa
Anahujumu vipi nchi wakati hana madaraka ya kuongoza nchiWatu makini wote wameondoka kisa yeye. Amebaki na waganga njaa ambao wanamlamba miguu wapate asali. Huyu jamaa anaihujumu nchi.