Hivi George Mkuchika ndio Kingunge Ngombare Mwiru wa zama hizi?

Hivi George Mkuchika ndio Kingunge Ngombare Mwiru wa zama hizi?

Joined
Nov 18, 2022
Posts
41
Reaction score
115
Wakuu...

Leo maombeni mnijuze, kwanini Captain Mstaafu George Huruma Mkuchika kila Baraza jipya la Mawaziri huwa hakosi.

Ukiangalia umri wake ni kama umeshamtupa mkono, lakini bado anaaminiwa na kila Rais anayekuja madarakani hali ya kuwa vijana wapo na wanaweza kuchapa kazi vizuri tu.

Je tuseme Mkuchika ndio Kingunhe wa zama hizi?
 
Mzalendo huyo, mzalendo haswaa. Amepigana vita ya Kagera, ametumikia serikali kwa uaminifu bila ambitions wala tamaa za madaraka makubwa.

Huwezi kumtumia kwenye mambo ya kijinga, amejiheshimu kwa miaka mingi na matokeo yake anaheshimiwa kwelikweli na wote.
 
Wakuu...

Leo maombeni mnijuze, kwanini Captain Mstaafu George Huruma Mkuchika kila Baraza jipya la Mawaziri huwa hakosi.

Ukiangalia umri wake ni kama umeshamtupa mkono, lakini bado anaaminiwa na kila Rais anayekuja madarakani hali ya kuwa vijana wapo na wanaweza kuchapa kazi vizuri tu.

Je tuseme Mkuchika ndio Kingunhe wa zama hizi?
Huwezi kumfananisha Mkuchika na Kingunge mzee wa Misimamo Mzee Kingunge akiwahi kusema CCM waliyoianzisha na NYERERE sio hii kitu ambacho MKUCHIKA Hawezi kuthubutu kusema
 
Back
Top Bottom